Katiba inayopendekezwa imejali lugha za alama na mguso kama lugha rasmi

Katiba inayopendekezwa imejali lugha za alama na mguso kama lugha rasmi

Dragunov Sniper

JF-Expert Member
Joined
Mar 9, 2015
Posts
2,795
Reaction score
9
Kwa mara ya wanza katika historia hapa nchini kwetu, Katiba Inayopendekezwa katika IBARA YA 4-(4) LUGHA YA TAIFA NA MAWASILIANO MBADALA tunaona kuwa Katiba hiyo imewajali watu wenye ulemavu wakiwemo viziwi, bubu n.k kwa kuziweka lugha zao za utambulisho zikiwemo lugha ya alama, lugha ya alama mguso, maandishi yaliyokuzwa na nukta nundu kwenye sehemu muhimu za umma na katika vyombo vya habari vinavyotangaza habari zake kitaifa kwa ajili ya watu wenye ulemavu.

kutokana na hili, Serikali itaweka mazingira yatakayowezesha kuwepo kwa mawasiliano mbadala kwa watu hao na jamii.


Jamani hata hili nalo hamlioni kuwa ni jambo jema kwa wenzetu wenye ulemavu mpaka tuiseme hii katiba haifai? Itakuwa dhambi na kufuru kuisemea vibaya, nashauri Watanzania wenzangu tuwe wazalendo na tuisome hii katiba na tutagundua mambo mengi mazuri yalojificha ambayo baadhi ya watu wamekuwa wakiyananga kupitia baadhi ya wanasiasa wasioitakia mema nchi hiii.


Nawasilisha.
 
Ni jambo la faraja na kutia moyo kwa kuwa kilio chetu kimesikilizwa,kwa hapa katiba imetugusa vilivyo na kura yetu hapa ni ndio kwa kuwa katiba hii ikipita itatukomboa na ni mwanzo wa watu wenye ulemavu kuweza kupata elimu vzr,kushiriki katika ujenzi wa taifa kama walivyo wananchi wengine.

jambo la msingi tuiunge mkono kwa kujitokeza kwa wingi kujiandikisha ja baadae kura ya ndio inahusika.
 
Sawa lakini mimi.nitapiga kura ya HAPANA
Hujashikwa shati kaka lakni ujue unapoteza mambo mengi katika hiyo katiba maana naamini hujaisoma ila inaipinga tu kwa kufuata maneno ya watu, lakini anyway kura yako ya Hapana haitozuia katiba hii kupata kura nyingi za Ndiyo. Pole sana ewe mtanzania feki.
 
Nakushauri lubajaro uisome katiba inayopendekezwa kwa kuwa natumaini kuwa bado hujaielewa vzr na umemezeshwa sumu na wanasiasa,tulizana utaielewa na siku ikifika utapiga kura ya ndio hata kama itakuwa kwa shingo upande,tuko pamoja,katiba ni yetu kwa ustawi wa taifa letu,asante kwa kuelewa na kuchukua hatua kujielimisha zaidi ili uungane na walio wengi
 
Chenge hana Katiba wewe acha ushabiki wa ajabu ajabu, kama unaushaidi kwamba yeye kaandikwa kuwa anamiliki katiba hii basi uweke humu ndani tuuone.

mkuu unapoteza muda wako bure.
HAPANA kwa katiba hii ya Chenge na mafisadi wa CCM.
 
Katiba ni ya watanzania sio ya chenge,huu ni upotoshaji mkubwa,ulaaniwe na ushindwe,kura ya ndio kwa katiba inayopendekezwa inahusika sana,wewe mtu mmoja usipotoshe jamii,watanzania tulio wengi tunaisoma katiba inayopendekezwa na tunaielewa,au wewe wa somalia?sikusomi inabidi wahisika wakufuatilie uraia wako.
 
mkuu unapoteza muda wako bure.
HAPANA kwa katiba hii ya Chenge na mafisadi wa CCM.


DAUDI MCHAMBUZI nikajua huwa unachambua hoja za maana kweli kumbe na wewe unadanganya, ni mwongo tu kwa akili yako unadhani Katiba Inayopendekezwa imeandikwa na huyo uliyemtaja, usijifanye hujui ukaanza kupigana na kivuli chako mwenyewe acha uongo hapa ndo maana sikufagilii.
 


DAUDI MCHAMBUZI nikajua huwa unachambua hoja za maana kweli kumbe na wewe unadanganya, ni mwongo tu kwa akili yako unadhani Katiba Inayopendekezwa imeandikwa na huyo uliyemtaja, usijifanye hujui ukaanza kupigana na kivuli chako mwenyewe acha uongo hapa ndo maana sikufagilii.

Round hii mtatukana matusi yote ila jibu lenu ni moja tu,
HAPANA kwa kijitabu hiki cha Chenge.
 
mkuu unapoteza muda wako bure.
HAPANA kwa katiba hii ya Chenge na mafisadi wa CCM.

Hivi daudi for God sake....Ukiambiwa utaje watanzania wachache wenye uwezo wa kutafsiri sheria nchini utamtaja nani....kama unakumbukumbu kikao cha mwisho cha bunge kilichoisha saa sita usiku nani alitoa msaada pale kulipoonekana kuna vikwazo....au ugumu...ndugu yako Tundu Lisu alisalute kwenye masuala ya kitaifa kuna watu lazma watumike......kwa maslah ya taifa....tumeona Zitto ametumika kwenye masuala muhimu ya kitaifa kwa ajili ya ubora wake tu...hivyo usitake kupotosha kwa kufuata mkumbo wa wanasiasa....mjomba kuna watu kama kina lipumba wanatafuta madaraka kila uchao unategemea watasema mazuri kwenye hili na walitegemea serikali 3 zipite ili wapate nafasi....mdogo wangu lets wise guide your thought usidanganywe wala kupotoshwa
 
baba yako ndo fisadi alomwambukiza huyo chenge, the way chenge hana katiba sa cjui unamzungumzia chenge wa hapo kwenu huyo baba yako.

acha jazba. hasira haziwezi kukusaidia kutetea kaitiba ya wezi.
kura ni HAPANA kwa kitabu cha Chenge.
 
Hivi daudi for God sake....Ukiambiwa utaje watanzania wachache wenye uwezo wa kutafsiri sheria nchini utamtaja nani....kama unakumbukumbu kikao cha mwisho cha bunge kilichoisha saa sita usiku nani alitoa msaada pale kulipoonekana kuna vikwazo....au ugumu...ndugu yako Tundu Lisu alisalute kwenye masuala ya kitaifa kuna watu lazma watumike......kwa maslah ya taifa....tumeona Zitto ametumika kwenye masuala muhimu ya kitaifa kwa ajili ya ubora wake tu...hivyo usitake kupotosha kwa kufuata mkumbo wa wanasiasa....mjomba kuna watu kama kina lipumba wanatafuta madaraka kila uchao unategemea watasema mazuri kwenye hili na walitegemea serikali 3 zipite ili wapate nafasi....mdogo wangu lets wise guide your thought usidanganywe wala kupotoshwa

1. kati ya watanzania wachache ninao waamini kwenye kutafsiri sheria ni my good Proffesor Mbunda alinifundisha Advance Constitutional Law, Tundu Antipas Lissu nk.

2. Katiba Pendekezwa ni uchafu mtupu uliochakachuliwa na wezi Kina Andrew Chenge kwa msalahi ya mafisadi.

HAPANA kwa kijitabu cha Chenge.
 
Back
Top Bottom