Katiba inayopendekezwa imejali lugha za alama na mguso kama lugha rasmi

Katiba inayopendekezwa imejali lugha za alama na mguso kama lugha rasmi

Kwa mara ya wanza katika historia hapa nchini kwetu, Katiba Inayopendekezwa katika IBARA YA 4-(4) LUGHA YA TAIFA NA MAWASILIANO MBADALA tunaona kuwa Katiba hiyo imewajali watu wenye ulemavu wakiwemo viziwi, bubu n.k kwa kuziweka lugha zao za utambulisho zikiwemo lugha ya alama, lugha ya alama mguso, maandishi yaliyokuzwa na nukta nundu kwenye sehemu muhimu za umma na katika vyombo vya habari vinavyotangaza habari zake kitaifa kwa ajili ya watu wenye ulemavu.

kutokana na hili, Serikali itaweka mazingira yatakayowezesha kuwepo kwa mawasiliano mbadala kwa watu hao na jamii.


Jamani hata hili nalo hamlioni kuwa ni jambo jema kwa wenzetu wenye ulemavu mpaka tuiseme hii katiba haifai? Itakuwa dhambi na kufuru kuisemea vibaya, nashauri Watanzania wenzangu tuwe wazalendo na tuisome hii katiba na tutagundua mambo mengi mazuri yalojificha ambayo baadhi ya watu wamekuwa wakiyananga kupitia baadhi ya wanasiasa wasioitakia mema nchi hiii.


Nawasilisha.



Mkuu kiukweli ktk suala la mahitaji ya watu wenye ulemavu kutambulika kikatiba hakika mengi yameingizwa kwa kuzingatia mahitaji na utekelezaji wake umeguswa sana ktk Disability Act 2010, naishukuru team yote tuliyofanya kazi na tume hadi hili likazingatiwa na kuingizwa ktk katiba pendekezi.
Mimi kama mdau Wa haki za watu wenye ulemavu nimefarijika sana.
Lakini tukumbuke utekelezeaji Wa haki zote na maslahi ya makundi mbalimbali kijamii unategemea kiasi kikubwa nguzo kuu ya serikali na viongozi wake Wa kisiasa kusimamia huku wakiongozwa na misingi imara ya kimaadili.
 
Kwa mara ya wanza katika historia hapa nchini kwetu, Katiba Inayopendekezwa katika IBARA YA 4-(4) LUGHA YA TAIFA NA MAWASILIANO MBADALA tunaona kuwa Katiba hiyo imewajali watu wenye ulemavu wakiwemo viziwi, bubu n.k kwa kuziweka lugha zao za utambulisho zikiwemo lugha ya alama, lugha ya alama mguso, maandishi yaliyokuzwa na nukta nundu kwenye sehemu muhimu za umma na katika vyombo vya habari vinavyotangaza habari zake kitaifa kwa ajili ya watu wenye ulemavu.

kutokana na hili, Serikali itaweka mazingira yatakayowezesha kuwepo kwa mawasiliano mbadala kwa watu hao na jamii.


Jamani hata hili nalo hamlioni kuwa ni jambo jema kwa wenzetu wenye ulemavu mpaka tuiseme hii katiba haifai? Itakuwa dhambi na kufuru kuisemea vibaya, nashauri Watanzania wenzangu tuwe wazalendo na tuisome hii katiba na tutagundua mambo mengi mazuri yalojificha ambayo baadhi ya watu wamekuwa wakiyananga kupitia baadhi ya wanasiasa wasioitakia mema nchi hiii.


Nawasilisha.



Mkuu ukiitafsiri katiba kwa item za kimakundi utagundua kweli makundi mengi yamezingatiwa ingawa si yote,utata mkubwa uko kwenye wapewa dhamana ktk utekelezaji Wa hayo mengi hawajapewa utaratibu Wa kuwabana wasipotekeleza,katiba imewalegezea viongozi Wa kisiasa na hiii ni sawa na ukandamijazi,huwezi MPA MTU haki mkono Wa kulia na kisha kumnyanganya kwa mkono Wa kushoto,hilo ndilo linalolalamikiwa na watanzania.
Kumbuka kero yetu kubwa ni juu ya maadili ya viongozi,ktk hilo tumeshuhudia katiba pendekezi imefuta au kuyapunguza na kuyapuuzia hayo yaliyo msingi Wa maadili.
Kiufupi hilo linachangia kura ya HAPANA
 
Mkuu ukiitafsiri katiba kwa item za kimakundi utagundua kweli makundi mengi yamezingatiwa ingawa si yote,utata mkubwa uko kwenye wapewa dhamana ktk utekelezaji Wa hayo mengi hawajapewa utaratibu Wa kuwabana wasipotekeleza,katiba imewalegezea viongozi Wa kisiasa na hiii ni sawa na ukandamijazi,huwezi MPA MTU haki mkono Wa kulia na kisha kumnyanganya kwa mkono Wa kushoto,hilo ndilo linalolalamikiwa na watanzania.
Kumbuka kero yetu kubwa ni juu ya maadili ya viongozi,ktk hilo tumeshuhudia katiba pendekezi imefuta au kuyapunguza na kuyapuuzia hayo yaliyo msingi Wa maadili.
Kiufupi hilo linachangia kura ya HAPANA


Naomba usome vizuri ndugu,ukisoma ibara ya 4 kile kifungu kwenye mabano (4) Kinasomeka hivi Serikali itaweka mazingira yatakayowezesha kuwepo kwa mawasiliano mbadala zikiwemo lugha za alama,alama za mguso na maandishi yaliyokuzwa na nukta nundu kwenye sehemu muhimu za umma na katika vyombo vya habari vinavyotangaza habari kitaifa kwa ajili ya watu wenye ulemavu.

Hayo mazingira yanayozungumzwa hapa ni pamoja na kuweka miongozo,mitaala mizuri ya kufundishia,vifaa na taratibu zitakazosimamia wananchi walio katika kundi hili kupata haki zao sawasawa na watu wasio na ulemavu.

Pia naomba ukumbuke nafasi ya bunge ambalo ni wananchi/wawakilishi wa wananchi katika kusimamia mambo haya hasa kwenye utungaji wa sheria,Hivyo yapo mambo mengi humu yatawekewa sheria na utaratibu na wabunge ili nchi yetu iweze kupiga hatua unaposema hakuna utaratibu wa kuwabana hata sikuelewi au unataka katiba itamke mtu akitukana atafungwa miaka 5,atachapwa viboko vitano??? Hiyo sio katiba ya nchi,Kumbuka katiba nchi ni sheria mama, chini yake zitatungwa sheria kibao kusimamia mambo mbalimbali ambazo hazikinzani na sheria mama/katiba na hao ni wabunge ambao kazi yao kubwa ni kutunga sheria na kuisimamia serikali n.k. Naomba usome vizuri na utulie.
 
Mkuu ukiitafsiri katiba kwa item za kimakundi utagundua kweli makundi mengi yamezingatiwa ingawa si yote,utata mkubwa uko kwenye wapewa dhamana ktk utekelezaji Wa hayo mengi hawajapewa utaratibu Wa kuwabana wasipotekeleza,katiba imewalegezea viongozi Wa kisiasa na hiii ni sawa na ukandamijazi,huwezi MPA MTU haki mkono Wa kulia na kisha kumnyanganya kwa mkono Wa kushoto,hilo ndilo linalolalamikiwa na watanzania.
Kumbuka kero yetu kubwa ni juu ya maadili ya viongozi,ktk hilo tumeshuhudia katiba pendekezi imefuta au kuyapunguza na kuyapuuzia hayo yaliyo msingi Wa maadili.
Kiufupi hilo linachangia kura ya HAPANA

timetoloveyourself, Katiba Inayopendekezwa ipo straight kuhusu Utii wa miiko ya uongozi wa umma ambapo Ibara ya 30.-(1) inaeleza wazi kuwa kiongozi wa umma ataheshimu na kutii maadili ya uongozi wa umma na miiko ya uongozi. Kwa misingi kwamba Bunge ndilo lenye wajibu na jukumu la kutunga sheria itakayoainisha kuhusu miiko inayopaswa kuzingatiwa na viongozi wa umma, utaratibu wa kumuondoa kazini kiongozi wa umma kutokana na kuvunja miiko na kukiuka maadili ya uongozi wa umma, vitendo ambavyo kiongozi wa umma hapaswi kuvitenda na ngazi au orodha ya viongozi wa umma wanaofungwa na Sehemu hii.



Sasa wabunge ndiyo wamepewa huo wajibu wa kutunga sheria kulingana na misingi ya Katiba ili kuhakikisha vitu vyote vinasimamiwa ipasavyo. Naona hukuyaona haya ndiyo maana unatoa maelezo ambayo huyajui. Katiba Inayopendekezwa imejumuisha vitu vingi ambavyo mwanzoni havikuwapo. Hongera Watanzania kwa dhamira yetu ya kuipatia Tanzania Katiba Mpya.
 
Shida sio kuwa na macho mawili,issue je yanaona?hayo yako ni mapambo tu ungeargue kwa vifungu vilivyotajwa hapo hiyo inamaanisha hukuviona!

hebu weka kifungu hapa ambacho kinakusababisha utulazimishe tupige kura ya NDIYO kwenye hiki kitabu cha Chenge.
 
hebu weka kifungu hapa ambacho kinakusababisha utulazimishe tupige kura ya NDIYO kwenye hiki kitabu cha Chenge.

Wee nae sijui umetoka wapi?Na wewe onyesha kifungu kinachosababisha ulazimishe kura ya hapana kwenye Kitabu cha babu!
 
Wee nae sijui umetoka wapi?Na wewe onyesha kifungu kinachosababisha ulazimishe kura ya hapana kwenye Kitabu cha babu!

nilikua nadhani na-urgue na prudent kumbe mandazi.
Jamani hebu tetea iyo katiba ya Chenge kwa vifungu acha pororjo.
 
nilikua nadhani na-urgue na prudent kumbe mandazi.
Jamani hebu tetea iyo katiba ya Chenge kwa vifungu acha pororjo.


Ha ha ha ha yaani ni sheedah haya ndo madhara ya kufukuza upepo hata hujui umeelekea wapi!!! Daudi Mchambuzi mchambuzi kweli hata hujui Taifa lako linaelekea wapi sasa, hata hujui Katiba ni nini? Hata hujui katiba inatungwa na watu gani?mwisho Chenge hana katiba!


 
Kwa mara ya wanza katika historia hapa nchini kwetu, Katiba Inayopendekezwa katika IBARA YA 4-(4) LUGHA YA TAIFA NA MAWASILIANO MBADALA tunaona kuwa Katiba hiyo imewajali watu wenye ulemavu wakiwemo viziwi, bubu n.k kwa kuziweka lugha zao za utambulisho zikiwemo lugha ya alama, lugha ya alama mguso, maandishi yaliyokuzwa na nukta nundu kwenye sehemu muhimu za umma na katika vyombo vya habari vinavyotangaza habari zake kitaifa kwa ajili ya watu wenye ulemavu.

kutokana na hili, Serikali itaweka mazingira yatakayowezesha kuwepo kwa mawasiliano mbadala kwa watu hao na jamii.


Jamani hata hili nalo hamlioni kuwa ni jambo jema kwa wenzetu wenye ulemavu mpaka tuiseme hii katiba haifai? Itakuwa dhambi na kufuru kuisemea vibaya, nashauri Watanzania wenzangu tuwe wazalendo na tuisome hii katiba na tutagundua mambo mengi mazuri yalojificha ambayo baadhi ya watu wamekuwa wakiyananga kupitia baadhi ya wanasiasa wasioitakia mema nchi hiii.


Nawasilisha.

Kwani leo hii hayo hayazingatiwi? Mbona kumekuwa na shule za walemavu wanaofundishwa kwa lugha hizo!
 
Mkuu ukiitafsiri katiba kwa item za kimakundi utagundua kweli makundi mengi yamezingatiwa ingawa si yote,utata mkubwa uko kwenye wapewa dhamana ktk utekelezaji Wa hayo mengi hawajapewa utaratibu Wa kuwabana wasipotekeleza,katiba imewalegezea viongozi Wa kisiasa na hiii ni sawa na ukandamijazi,huwezi MPA MTU haki mkono Wa kulia na kisha kumnyanganya kwa mkono Wa kushoto,hilo ndilo linalolalamikiwa na watanzania.
Kumbuka kero yetu kubwa ni juu ya maadili ya viongozi,ktk hilo tumeshuhudia katiba pendekezi imefuta au kuyapunguza na kuyapuuzia hayo yaliyo msingi Wa maadili.
Kiufupi hilo linachangia kura ya HAPANA

Inakuwaje kijana...nakushauri ukasome ibara ya 65 yote kwenye sehemu ya USIMAMIZI WA HAKI ZA BINADAMU ili tusiwe tunabisha ili kuonekana na sisi tupo

Halafu labda hujazisoma hizi nondo mbili..ambayo kwa msingi hupaswi kudharau hata moja...kwani bila rasimu ya pili tusingepata katiba inayopndekezwa......maadili unayosema yametolewa kaka hebu kwenye katiba nenda sura ya nne kaisome yotee kuanzia ibara ya 28 kwa kukusaidia tu utakuta title imeandikwa..MAADILI NA MIIKO YA UONGOZI NA UTUMISHI WA UMMA...isome yote na vipngele vyake...halafu nenda kwenye rasimu ya pili....Huku ipo sura ya Tatu ila huku iko ibara ya 13....yenye title....MAADILI NA MIIKO YA UONGOZI NA UTUMISHI WA UMMA....nenda kaisome na vipengele vyake...yaani hii inaitwa copy from Rasimu ya pili na Paste kwenye Katiba Inayopendekezwa...hakuna sababu ya kudanganya watu kwa hisia zako kijana.....hivi vitu vyote vipo kikubwa ziko kwenye ibara tofauti....wasiwasi wangu kijana hujaisoma....Mwanzo nilikuw mbishi sana juu ya mambo mengi ikiwemo hili ila nilipoamua kuisoma sikuw na la kusema....na ukiwa mkurupukaji utaendelea kubisha hivhiv
 
Hivi ni kwa nini mtu akisema HAPANA kwa katiba inayopendekezwa anaambiwa akaisome vizuri? Kwa nini hata wewe unayesema NDIO usiende kuisoma vizuri? Kinachowaaminisha wa kura ya NDIO wao wameielewa katiba inayopendekezwa wamesoma na kuilewa ni nini? Katiba inayopendekezwa ukiisoma kwa ujumla wake ni mbaya na ina mapungufu makubwa mno. Katiba imefumua muundo na mfumo mzima wa rasimu ya Tume ikaaishia kutamkatamka mambo ambayo yatafurahisha makundi ya wapiga kura. Hayo yaliyotajwa hayajawekewa mfumo wa utekelezaji, ufuatiliaji na uwajibikaji. Mambo mengi yameelekezwa kuwa yatatungiwa sheria na bunge. Hicho ni kiini macho kama Waislamu wanavyochezewa. Waliambiwa waipigie kura ya ndio rasimu mbovu ya Sita kwa masharti kwamba watapewa mahakama ya kadhi ambayo hadi sasa ni dhairi mahakama ya kadhi imeota mbawa na rasimu ilishapitshwa. Sina hakika yule shehe Jongo mjumbe wa bunge la katiba atawaambia nini waislam wenzake kwa kushirikiana na Sita kuwahujumu.
My take: Kwa mtindo uleule wa ulaghai pitisheni katiba mbovu inayopendekezwa ila mjiandae tutaulizana hapo jamvini kulikoni pale mambo yatakapo enda halijojo. Katiba nzuri huwa haiitaji nguvu kubwa kupitisha kwani inakuwa na muafaka wa kitaifa tayari.
 
Hivi ni kwa nini mtu akisema HAPANA kwa katiba inayopendekezwa anaambiwa akaisome vizuri? Kwa nini hata wewe unayesema NDIO usiende kuisoma vizuri? Kinachowaaminisha wa kura ya NDIO wao wameielewa katiba inayopendekezwa wamesoma na kuilewa ni nini? Katiba inayopendekezwa ukiisoma kwa ujumla wake ni mbaya na ina mapungufu makubwa mno. Katiba imefumua muundo na mfumo mzima wa rasimu ya Tume ikaaishia kutamkatamka mambo ambayo yatafurahisha makundi ya wapiga kura. Hayo yaliyotajwa hayajawekewa mfumo wa utekelezaji, ufuatiliaji na uwajibikaji. Mambo mengi yameelekezwa kuwa yatatungiwa sheria na bunge. Hicho ni kiini macho kama Waislamu wanavyochezewa. Waliambiwa waipigie kura ya ndio rasimu mbovu ya Sita kwa masharti kwamba watapewa mahakama ya kadhi ambayo hadi sasa ni dhairi mahakama ya kadhi imeota mbawa na rasimu ilishapitshwa. Sina hakika yule shehe Jongo mjumbe wa bunge la katiba atawaambia nini waislam wenzake kwa kushirikiana na Sita kuwahujumu.
My take: Kwa mtindo uleule wa ulaghai pitisheni katiba mbovu inayopendekezwa ila mjiandae tutaulizana hapo jamvini kulikoni pale mambo yatakapo enda halijojo. Katiba nzuri huwa haiitaji nguvu kubwa kupitisha kwani inakuwa na muafaka wa kitaifa tayari.


Wewe hujaisoma kwani ubishi wa nini kwa nini usiombe muda ukasome afu utarudi humu?kuliko kongea jumla jumla tu haipendezi!
 
Kwani leo hii hayo hayazingatiwi? Mbona kumekuwa na shule za walemavu wanaofundishwa kwa lugha hizo!

Hujielewi wewe nenda kawaulize wawakilishi wa walemavu kwa nini? Walikwenda Bunge la Katiba wakijua yao yamezingatiwa? Acha kupotosha tatizo lako husomi na hufuatilii masuala ya nchi yako unakalia kudaka ya mtaani utapasuka ndugu mwisho utadaka moto!
 
Back
Top Bottom