Usitake akili zetu zifanane na zako kwa kuwa umekalia pazuri.badala ya kushirikiana na Rais aliyekuwepo madarakani,
nyie mnafikiria kumtoa,
he is here to stay,mpaka kipindi chake kiishe
badala ya kuzama kwenye negativity,
muanze kuwa positive,na kutoa ushirikiano,
tukifanya hivyo,tutaona matokeo chanya and by the time anaachia office,tutakua tumepiga hatua
Kiti chake akalie amalize muda wake baada ya hapo aje mwingine na si yy.
Tunataka katba mpya tu kabla 2019.
Kumuunga mkono na wakati haingiliwi ktk maamuzi yake hvyo hata ukimuunga mkono atakuja kukukata na kimkono chako kwa unafiki ulionao na wakati unaona anachokutendea ckizuri...
[HASHTAG]#katibampya[/HASHTAG]
Sent using Jamii Forums mobile app