Wakili wa shetani
JF-Expert Member
- Nov 22, 2022
- 1,726
- 3,391
Kuna wafanyakazi wa serikali wanakera sana. Akilini mwao wanawazaga sijui vitu gani. Katiba ingeruhusu viongozi wakuu wawakate makofi pale inapobidi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna wafanyakazi wa serikali wanakera sana. Akilini mwao wanawazaga sijui vitu gani. Katiba ingeruhusu viongozi wakuu wawakate makofi pale inapobidi.
View: https://twitter.com/Eric__Bernard/status/1744372317298311559?t=_AB_MwZOw8xzkW9SiNn4Kg&s=19
Hata nyumbani baba anaweza kuwa mzembe lakini huwa hachapwi.Vipi pale ambapo viongozi wakuu ni wazembe?
Kuna wafanyakazi wa serikali wanakera sana. Akilini mwao wanawazaga sijui vitu gani. Katiba ingeruhusu viongozi wakuu wawakate makofi pale inapobidi.
View: https://twitter.com/Eric__Bernard/status/1744372317298311559?t=_AB_MwZOw8xzkW9SiNn4Kg&s=19
Utajisikiaje kusikia baba yako ni mzembe kiasi kwamba ameacha makumi ya pikipiki yakipigwa na vumbi kwa miaka miwili?utasikiaje baba yako au mtu wako wa karibu kafanyiwa kama ulivoeleza.
ccm akili ni balimi
Nchi sio familia,Hata nyumbani baba anaweza kuwa mzembe lakini huwa hachapwi.
Hata nyumbani baba akizembea majukumu yake hachapwi, lakini hilo haaimaanishi kila mtu ana ruhusa ya kuzembea.Na viongozi wazembe makofi atawachapa nani?
Nani kasema nchi ni familia.Nchi sio familia,
Baba ndiye mtafuta pesa, lakini kiongozi anatumia pesa ambazo ni kodi za wananchi kapewa tu asaidie kusimamiaHata nyumbani baba akizembea majukumu yake hachapwi, lakini hilo haaimaanishi kila mtu ana ruhusa ya kuzembea.
Kuna wafanyakazi wa serikali wanakera sana. Akilini mwao wanawazaga sijui vitu gani. Katiba ingeruhusu viongozi wakuu wawakate makofi pale inapobidi.
View: https://twitter.com/Eric__Bernard/status/1744372317298311559?t=_AB_MwZOw8xzkW9SiNn4Kg&s=19
WeweNani kasema nchi ni familia.