Ndikwega
R I P
- Feb 1, 2012
- 5,979
- 5,527
Yaani ni kama umelogwa kama huelewi alichokisema mleta mada,
Mkuu,ndiyo huyo get 6 aliyeleta uzi huu. Wajuzi wa mambo wanadai huyo ni cuf.lila msaliti mwenzie na zitto. Matatzo matupu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yaani ni kama umelogwa kama huelewi alichokisema mleta mada,
Njaa tuu huwa zinatufanya tuishabukie ccm!ukweli ni kuwa ccm ni kansa kwa watanzania
mkuu hivi kalenga hali ya kisiasa ipoje, baada ya chadema kuambulia viti vitatu vya udiwani kati ya 27 dr slaa hata hataki kuisikia kalenga anaogopa aibu. Any way tunawasubiri chalinze
Wewe nawe kama una ugonjwa wa akili. Umeleta uzi kuhusuana na kinachoendelea Dodoma kwa mjibu wa Dr. BANA, unatolewa nje ta mada na wewe unakurupuka na CDM na mambo ya udiwani. Angalia hata siku ya kufa usiwe unaimba CDM. Shughulisha akili yako kwenye mambo ya maana. Katiba ndiyo jambo la maana kwa sasa hayo mengine ya CDM na CCM gapo kila mtu na njaa zake tu. Binafsi nakubaliaba na hayo mawazi ya DR. BANA, kupatikana au kutopatijana katiba mpya CCM watahusikaMkuu hivi Kalenga hali ya kisiasa ipoje, baada ya chadema kuambulia viti vitatu vya udiwani kati ya 27 Dr Slaa hata hataki kuisikia kalenga anaogopa aibu. Any way tunawasubiri chalinze
Wewe utakuwa Bana mwenyewe. Nyambaffu kabisa!