Mlupembe
JF-Expert Member
- Jan 31, 2014
- 445
- 214
Walimu jikomboeni kwa hii taarifa mpya ya marekebisho ya katiba cwt.. Msisahau kuweka mabo haya..
1.kuwe na fao baada ya kustaafu mana unatoa makato mengi.
2. Kuwe na hiyari ya mwalimu kujiunga.
3.kuwe na hiyari kujitoa .
4.kuwe naelimu pana kuhusu chaguzi na nafasi mbalimbali za uongozi ndani ya chama.
5. Endeleza mwalimu kama unayo mengine.
1.kuwe na fao baada ya kustaafu mana unatoa makato mengi.
2. Kuwe na hiyari ya mwalimu kujiunga.
3.kuwe na hiyari kujitoa .
4.kuwe naelimu pana kuhusu chaguzi na nafasi mbalimbali za uongozi ndani ya chama.
5. Endeleza mwalimu kama unayo mengine.