Katiba Mpya haitaletwa na walio Madarakani

Katiba Mpya haitaletwa na walio Madarakani

brazaj

JF-Expert Member
Joined
Jul 26, 2016
Posts
31,698
Reaction score
41,733
Hakuna asiyejua umuhimu wa katiba mpya katika zama zozote.

Katiba mpya ni mustakabala ulio bora zaidi katika nchi katika wakati husika. Nani anaweza kupinga uwapo wake?

IMG_20220403_074619_952.jpg


Mustakabala huo hauwezi kuletwa na watawala madarakani katika wakati wowote. Kuwaomba, kuwalilia au kujaribu kuwalaumu kwa kutouridhia kwa wakati wowote ni kupoteza muda bure.

Pale tutakapo jifunga vibwebwe na kutokea kuidai katiba mpya hadharani, tutaipata.

Anayetunyima katiba mpya si mwingine bali ni wenyewe.
 
Hata sisi huku kwetu tunapambana na genge la mwenyekiti ili kurudisha demokrasia ya kweli ndani ya chama chetu. Tunaomba chawa wa mwenyekiti na mwenyekiti mwenyewe watambue kuwa hiki chama ni cha wananchi na sio cha mtu binafsi.

Haiwezekani mwenyekiti atumie vipesa vyake alivyokusanya kupitia ruzuku mbali mbali kujimilikisha chama. Lengo la kukiita chama chetu "chama cha demokrasia na maendeleo" lilikuwa ni kutaka kuwaonesha wananchi na wanachama wetu kuwa chama chetu kinasimamia demokrasia ya kweli tofauti na sasa chama kimegeuzwa cha kisultani kinasimamia genge la mwenyekiti na familia yake.

Wenye maono ya kweli na chama wanazuiwa kupewa uongozi wa juu nk, huku ubadhilifu mkubwa wa mali za chama ukiendelea chini ya uongozi wa sultani na genge lake.

Mwaka huu tutahakikisha mwenyekiti na chawa wake wanaheshimu katiba ya chama iliyowekwa chini ya waasisi wetu kina mzee Mtei na hayati bob Makani, na tutarejesha demokrasia ya kweli ili kila mtanzania mwenye sifa zinazostahili kuongoza chama aweze kuongoza chama chetu kwa kipindi cha miaka mitano au kumi kama katiba yetu inavyosema.

Tushachoka kuwa chini ya uongozi wa kisultani. Chawa mnaruhusiwa kuja kwa wingi kunipinga kwa hoja.


images (27).jpeg


images (23).jpeg
 
Nilidhani wewe ni mmoja wa hawa hapa kwamba utakuwa busy sasa kuwakataa wahuni?

IMG_20220403_063027_732.jpg
 
Ccm wanaogopa katiba mpya kama ukoma..wako radhi waumize watu ila hii katiba iendelee kuwepo.

#MaendeleoHayanaChama
 
Nilidhani wewe ni mmoja wa hawa hapa kwamba utakuwa busy sasa kuwakataa wahuni?

View attachment 2173720
Hawa na chama chao hawanihusu. Sisi tunapigania demokrasia ya kweli na utawala wa sheria ndani ya chama chetu. Muda ndio huu wa kuhakikisha chama chetu kinatoka katika makucha ya sultani na genge lake. Kuendelea kuwa makondoo ndani ya chama ndo kunakosababisha mwenyekiti awe na kiburi cha kuamua lolote ndan ya chama.
 
Hakuna asiyejua umuhimu wa katiba mpya katika zama zozote.

Katiba mpya ni mustakabala ulio bora zaidi katika nchi katika wakati husika. Nani anaweza kupinga uwapo wake?

View attachment 2173685

Mustakabala huo hauwezi kuletwa na watawala madarakani katika wakati wowote. Kuwaomba, kuwalilia au kujaribu kuwalaumu kwa kutouridhia kwa wakati wowote ni kupoteza muda bure.

Pale tutakapo jifunga vibwebwe na kutokea kuidai katiba mpya hadharani, tutaipata.

Anayetunyima katiba mpya ni si mwingine bali ni wenyewe.
Mbona kijeba kinalia Kwa uchungu kulikoni🏃🏃🏃🏃🏃🏃.
 
Hawa na chama chao hawanihusu. Sisi tunapigania demokrasia ya kweli na utawala wa sheria ndani ya chama chetu. Muda ndio huu wa kuhakikisha chama chetu kinatoka katika makucha ya sultani na genge lake. Kuendelea kuwa makondoo ndani ya chama ndo kunakosababisha mwenyekiti awe na kiburi cha kuamua lolote ndan ya chama.

Si mbaya ukatambua hamtatutoa kwenye agenda ya katiba mpya. Tambueni pia tunajua bila kuwakomalia hamtaridhia.
 
Si mbaya ukatambua hamtatutoa kwenye agenda ya katiba mpya. Tambueni pia tunajua bila kuwakomalia hamtaridhia.
Hata hao wametambua wanateseka,hasa baada ya kukatwa mikono ndani ya Chama lao😜.wamebaki wanalialia TU,ila wanashindwa TU kutoka hadharani na kuitaka katiba mpya.Kisa watakatwa mkia😂.
 
Hata sisi huku kwetu tunapambana na genge la mwenyekiti ili kurudisha demokrasia ya kweli ndani ya chama chetu. Tunaomba chawa wa mwenyekiti na mwenyekiti mwenyewe watambue kuwa hiki chama ni cha wananchi na sio cha mtu binafsi. Haiwezekani mwenyekiti atumie vipesa vyake alivyokusanya kupitia ruzuku mbali mbali kujimilikisha chama. Lengo la kukiita chama chetu "chama cha demokrasia na maendeleo" lilikuwa ni kutaka kuwaonesha wananchi na wanachama wetu kuwa chama chetu kinasimamia demokrasia ya kweli tofauti na sasa chama kimegeuzwa cha kisultani kinasimamia genge la mwenyekiti na familia yake. Wenye maono ya kweli na chama wanazuiwa kupewa uongozi wa juu nk, huku ubadhilifu mkubwa wa mali za chama ukiendelea chini ya uongozi wa sultani na genge lake. Mwaka huu tutahakikisha mwenyekiti na chawa wake wanaheshimu katiba ya chama iliyowekwa chini ya waasisi wetu kina mzee Mtei na hayati bob Makani, na tutarejesha demokrasia ya kweli ili kila mtanzania mwenye sifa zinazostahili kuongoza chama aweze kuongoza chama chetu kwa kipindi cha miaka mitano au kumi kama katiba yetu inavyosema. Tushachoka kuwa chini ya uongozi wa kisultani. Chawa mnaruhusiwa kuja kwa wingi kunipinga kwa hoja.

View attachment 2173705

View attachment 2173706
Wewe MATAGA a.k.a mwana Lumumba mambo ya Chadema yanakuhusu vipi?
Mbona hushawishi kuondoa usultani ndani ya chama chako sisiemu ambamo kikundi cha watu wachache kimehodhi kila kitu miaka yote?
 
Hawa na chama chao hawanihusu. Sisi tunapigania demokrasia ya kweli na utawala wa sheria ndani ya chama chetu. Muda ndio huu wa kuhakikisha chama chetu kinatoka katika makucha ya sultani na genge lake. Kuendelea kuwa makondoo ndani ya chama ndo kunakosababisha mwenyekiti awe na kiburi cha kuamua lolote ndan ya chama.
Jikite kwenye mada..
 
Hakuna asiyejua umuhimu wa katiba mpya katika zama zozote.

Katiba mpya ni mustakabala ulio bora zaidi katika nchi katika wakati husika. Nani anaweza kupinga uwapo wake?

View attachment 2173685

Mustakabala huo hauwezi kuletwa na watawala madarakani katika wakati wowote. Kuwaomba, kuwalilia au kujaribu kuwalaumu kwa kutouridhia kwa wakati wowote ni kupoteza muda bure.

Pale tutakapo jifunga vibwebwe na kutokea kuidai katiba mpya hadharani, tutaipata.

Anayetunyima katiba mpya si mwingine bali ni wenyewe.
Lazima tuidai kwa nguvu zote
 
Mambo yenu na ya mwenyekiti ni ya chama chenu, hayatuhusu wote. Hapa yanayotuhusu zaidi ni mambo ya Kitaifa ya wananchi wote.
Hata sisi huku kwetu tunapambana na genge la mwenyekiti ili kurudisha demokrasia ya kweli ndani ya chama chetu. Tunaomba chawa wa mwenyekiti na mwenyekiti mwenyewe watambue kuwa hiki chama ni cha wananchi na sio cha mtu binafsi.

Haiwezekani mwenyekiti atumie vipesa vyake alivyokusanya kupitia ruzuku mbali mbali kujimilikisha chama. Lengo la kukiita chama chetu "chama cha demokrasia na maendeleo" lilikuwa ni kutaka kuwaonesha wananchi na wanachama wetu kuwa chama chetu kinasimamia demokrasia ya kweli tofauti na sasa chama kimegeuzwa cha kisultani kinasimamia genge la mwenyekiti na familia yake.

Wenye maono ya kweli na chama wanazuiwa kupewa uongozi wa juu nk, huku ubadhilifu mkubwa wa mali za chama ukiendelea chini ya uongozi wa sultani na genge lake.

Mwaka huu tutahakikisha mwenyekiti na chawa wake wanaheshimu katiba ya chama iliyowekwa chini ya waasisi wetu kina mzee Mtei na hayati bob Makani, na tutarejesha demokrasia ya kweli ili kila mtanzania mwenye sifa zinazostahili kuongoza chama aweze kuongoza chama chetu kwa kipindi cha miaka mitano au kumi kama katiba yetu inavyosema.

Tushachoka kuwa chini ya uongozi wa kisultani. Chawa mnaruhusiwa kuja kwa wingi kunipinga kwa hoja.


View attachment 2173705

View attachment 2173706
 
Back
Top Bottom