Tofauti yetu sisi na watu weupe ni ustaarabu, binaadamu wenzetu hao wametuzidi ustaarabu na ndio kitu cha kwanza kinachowaongoza kabla ya vitu vyengine na ndio inakuwa rahisi hata kufuata hayo mengine. Sisi utakuta kitu kitu kizuri kimejengwa masiku kadhaa tu ila unakuta watu washaharibu bila kujali kwamba kitu hicho ni kwa manufaa yao wenyewe, ukiangalia matatizo ya afrika ni yaleyale tu sasa sidhani kama ni kwa sababu afrika tumekosa katiba bora.
Ustaarabu ni kitu muhimu sana tungekuwa na ustaarabu hata katiba ya sasa tungeiheshimu ila sasa ustaarabu hatuna.
Mkuu siyo Rahisi ni Hivyo, Ngoja tuone, maana CCM wanajua ya kwamba Katiba Mpya yenye tume huru ya Uchaguzi ndio Mwisho wao. Je wako tayari Kukabidhi nchi, kwa Maana Katiba Mpya Means CCM Kwa Kheri kama ilivyokuwa KANU ya Kenya.
Tofauti yetu sisi na watu weupe ni ustaarabu, binaadamu wenzetu hao wametuzidi ustaarabu na ndio kitu cha kwanza kinachowaongoza kabla ya vitu vyengine na ndio inakuwa rahisi hata kufuata hayo mengine. Sisi utakuja kitu kitu kizuri kimejengwa masiku kadhaa tu ila unakuta watu washaharibu bila kujali kwamba kitu hicho ni kwa manufaa yao wenyewe, ukiangalia matatizo ya afrika ni yaleyale tu sasa sidhani kama ni kwa sababu afrika tumekosa katiba bora.
Ustaarabu ni kitu muhimu sana tungekuwa na ustaarabu hata katiba ya sasa tungeiheshimu ila sasa ustaarabu hatuna.
Mkuu siyo Rahisi ni Hivyo, Ngoja tuone, maana CCM wanajua ya kwamba Katiba Mpya yenye tume huru ya Uchaguzi ndio Mwisho wao. Je wako tayari Kukabidhi nchi, kwa Maana Katiba Mpya Means CCM Kwa Kheri kama ilivyokuwa KANU ya Kenya.
Mabibi na mabwana kumekuwa na vita vikali vya mitandaoni. CCM, Chadema, Corona, Legacy, tuzo za BET nk. Kwa hakika imekuwa ni patashika nguo kuchanika. Hata hivyo pana haja ya kufanyika tathmini za msingi. Kuna uwezekano mkubwa kuwa waungwana, letu sote ni moja. Yawezekana ni kwa sababu ya...
www.jamiiforums.com
Mama ana hiari kuamua, iwe kabla au baada ya mashinikizo.
Hiyo katiba mpya itajisimamia yenyewe au itasimamiwa na watu hawa hawa mnaowalalamikia kila siku kuvunja katiba, Kama kweli katiba iliyopo inakanywagwa, kutakuwa na guarantee gani kuwa hiyo katiba mpya haitakanyagwa?
Katiba inaweza kuwa nzuri Sana na isifuatwe Kama mfumo wa uongozi utaendelea kuwa ule ule wa siku zote.
Vyama vya upinzani jiimarisheni kisera ili mpate ushawishi na kuaminika kwa wananchi, itakuwa rahisi hata mkiitisha maandamano ya kitaifa watu watawaelewa na kuwaunga mkono.
Hiyo katiba mpya itajisimamia yenyewe au itasimamiwa na watu hawa hawa mnaowalalamikia kila siku kuvunja katiba, Kama kweli katiba iliyopo inakanywagwa, kutakuwa na guarantee gani kuwa hiyo katiba mpya haitakanyagwa?
Katiba inaweza kuwa nzuri Sana na isifuatwe Kama mfumo wa uongozi utaendelea kuwa ule ule wa siku zote.
Vyama vya upinzani jiimarisheni kisera ili mpate ushawishi na kuaminika kwa wananchi, itakuwa rahisi hata mkiitisha maandamano ya kitaifa watu watawaelewa na kuwaunga mkono.
Katiba si kwa ajili ya vyama vya upinzani tu. Katiba ni kwa wananchi wote.
Mapungufu katiba iliyopo ndiyo yanayoyaleta mikanganyiko unayoiongelea. Hivi unayatambua haya:
1. Katiba iliyopo haiwawajibishi baadhi ya watendaji wakuu kwa kuikiuka, na hii ni kwa mujibu wa katiba yenyewe?
2. kwa katiba iliyopo pana watu hata kama wakiiba, wakipora, wakiuwa, wakidhulumu nk hiyo ni halali kwa mujibu wa katiba yenyewe?
3. katiba iliyopo inawapa baadhi ya watu mamlaka ya kujifanyia lolote bila kuhojiwa au hata kuwajibishwa tu?
4. Katiba iliyopo haitoi haki sawa kwa watu wote ndani ya nchi?
5. Kuna mianya mingi katika katiba hii ambayo inaweza kuifanya mihimili mingine hata kupoteza uhuru wake wa kiutendaji kwa mujibu wa katiba yenyewe?
6. Kuna utitiri wa nafasi za uongozi wasio na tija wala ridhaa ya wananchi ambao pia ni mzigo mkubwa kwa mlipa kodi?
7. Nk nk.
Kwenye mazingira haya asiyewajibishwa kwa mujibu wa katiba atawajibika vipi kwa katiba hiyo?
Hapa chini ni mawazo tokea baina ya wana CCM wafia chama:
Katiba mpya ni hitajio sahihi la wananchi sasa. Hili si hitajio la vyama vya siasa.
Mabibi na mabwana kumekuwa na vita vikali vya mitandaoni. CCM, Chadema, Corona, Legacy, tuzo za BET nk. Kwa hakika imekuwa ni patashika nguo kuchanika. Hata hivyo pana haja ya kufanyika tathmini za msingi. Kuna uwezekano mkubwa kuwa waungwana, letu sote ni moja. Yawezekana ni kwa sababu ya...
Mabibi na mabwana kumekuwa na vita vikali vya mitandaoni. CCM, Chadema, Corona, Legacy, tuzo za BET nk. Kwa hakika imekuwa ni patashika nguo kuchanika. Hata hivyo pana haja ya kufanyika tathmini za msingi. Kuna uwezekano mkubwa kuwa waungwana, letu sote ni moja. Yawezekana ni kwa sababu ya...
www.jamiiforums.com
Mama ana hiari kuamua, iwe kabla au baada ya mashinikizo.
Kutofautiana kimawazo katika nchi ni jambo la afya. Haiwezekani sote tukawa na mtizamo mmoja. Hata watoto mapacha hutokea wakati wakatofautiana. Kwa bahati mbaya kuna zama zimepita kwa kutofautiana tu pana watu wamekufa, wamepotezwa, wamejeruhiwa, wamedhulumiwa, na mengi ya namna hiyo...
www.jamiiforums.com
Kuna uwezekano mkubwa kuwa waungwana, letu sote ni moja ambalo ni jambo jema tu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.