Katiba mpya ihusishe na kunyonga au kufunga maisha mafisadi

Katiba mpya ihusishe na kunyonga au kufunga maisha mafisadi

Mwanaitelejensi

Senior Member
Joined
Jan 30, 2011
Posts
104
Reaction score
2
Wana-JF Naomba kutoa mawazo yangu kuhusu Katiba Mpya kama ikitungwa basi kisisahaulike kifungu kitakacho komesha RUSHWA a.ka Ufisadi. Na kianze mara moja kutumika na Mafisadi wote kama wakina Chenge, Lowassa, Rostam Aziz, Kikwete, Mkapa, Karamagi na Mafisadi wengine wote walihusika kutuingiza kwenye Mikataba FEKI ni wakunyonga tu. Kwa hiyo Wana-JF naomba tuanzeni mchakato wa kuingiza au kuhimiza Watz kuwa hiki kifungu ni lazima kinapitishwa:teeth:
 
Kama wanavyofanya China,hawacheki na mwizi,ipitishwe haraka ili itumike kwa waliopo
 
Kama wanavyofanya China,hawacheki na mwizi,ipitishwe haraka ili itumike kwa waliopo

Wale jamaa huwa hawana utani, mwamzoni ulikuwa ukifanya kosa basi familia yako yote inaadhibiwa na mwisho we unawafuata kifoni. Badae wakapunguza makali kwamba ukifanya kosa basi unaadhibiwa wewe mwenyewe kwa kukatwa kichwa hadharani. Kwa bongo hii itafaa!
 
Back
Top Bottom