BUCHANAGANDE
JF-Expert Member
- Sep 8, 2011
- 1,512
- 480
Habari zenu wakuu;
Maoni yangu ktk katiba mpya ni kwamba naomba katiba yetu ijayo imtambue second lady,third lady au fourth, fifthy lady e.t.c kama watakuwepo ili imani inaporuhusu kuwa na ma-lady wengi basi na katiba pia iwatambue kuwa wapo na wanastahili haki zao pindi the president anapo rest kwani kwa kutokutambuliwa kunawakosesha haki zao za msingi.
NAWASILISHA.
Maoni yangu ktk katiba mpya ni kwamba naomba katiba yetu ijayo imtambue second lady,third lady au fourth, fifthy lady e.t.c kama watakuwepo ili imani inaporuhusu kuwa na ma-lady wengi basi na katiba pia iwatambue kuwa wapo na wanastahili haki zao pindi the president anapo rest kwani kwa kutokutambuliwa kunawakosesha haki zao za msingi.
NAWASILISHA.