Katiba mpya iongeze wigo wa uwajibikaji, sio kupanua demokrasia.

Katiba mpya iongeze wigo wa uwajibikaji, sio kupanua demokrasia.

kavulata

JF-Expert Member
Joined
Aug 2, 2012
Posts
13,778
Reaction score
14,214
Watu maskini na wajinga usiwapatie demokrasia pana sana, maana wataitumia demokrasia hiyo kwenye kuandamana, kidai huduma na kugomea mipango yote ya serikali Kila siku bila wao kitimiza wajibu wao.

Tunataka katiba mpya ambayo itawalazimisha watu wote kufanyakazi na kuwajibika kwa matendo yao mazuri na mabaya bila kuoneana haya.

Tunataka katiba ambayo asiyelipa Kodi anafungwa na kufilisiwa hadharani na anaeiba au kutumia vibaya Kodi anahukumiwa hadharani bila kujali cheo Wala jinsia yake.

Katiba kama ya Kenya haifai kwenye mataifa maskini sana kama yetu. Katiba yao itawaletea umaskini wa hali ya juu kabisa.

Katiba ya Tanzania is the best kwa nchi maskini kama yetu. Ni katiba ambayo imewezesha watu kuswagwa kwenda Dodoma kwa gharama ndogo, kujengwa kwa bwawa la Nyerere, kujenga SGR ya umeme na mabarabara kwa gharama ndogo kabisa, kufuta hati za ardhi na kugawa ardhi kwa gharama ndogo kabisa. Katiba ya Tanzania imewezesha bomba la mafuta kutoka Uganda lipitie Tanzania badala ya Kenya kwa gharama ndogo.

Hakuna demokrasia kwa wenye njaa, kiu na wagonjwa. Tutafute katiba ambayo itamswaga Kila mtu afanyekazi na kutimiza wajibu wake kikamilifu. Wakoloni walitudanganya sana kuhusu demokrasia Afrika.
 
Watu hawataki hiyo nyimbo mzee wanataka Ile kuba'babake humu tu
Sayansi inasema hakuna demokrasia kwenye uhaba na upunhufu mkubwa wa vitu, mtu atakula kiliko na alichopata. Tutengeneze katiba zinazotulazimisha kufanyakazi kwa bidii na kulinda tulichozalisha kwa bidii ili kitufae wote. Kenya wamelazimishwa kutengeneza katiba ya kidemokrasia ambayo itawarudisha nyuma na kuwafanya wategemee wafadhili na kuwa wakimbizi duniani. Kila unakokwenda utawakuta wakenya wakitumikia chumi za watu wengine (manamba). Kiingereza kizuri ndio nyenzo yao kubwa ya kufanikisha ukimbizi wao.
 
Sayansi inasema hakuna demokrasia kwenye uhaba na upunhufu mkubwa wa vitu, mtu atakula kiliko na alichopata. Tutengeneze katiba zinazotulazimisha kufanyakazi kwa bidii na kulinda tulichozalisha kwa bidii ili kitufae wote. Kenya wamelazimishwa kutengeneza katiba ya kidemokrasia ambayo itawarudisha nyuma na kuwafanya wategemee wafadhili na kuwa wakimbizi duniani. Kila unakokwenda utawakuta wakenya wakitumikia chumi za watu wengine (manamba). Kiingereza kizuri ndio nyenzo yao kubwa ya kufanikisha ukimbizi wao.
Kuwa mkimbizi ni kosa kwani?
 
Duuuh! Katiba ya Tanzania ni bora ?!🤡

Hivi Rais wa Tanzania anaweza fungwa ?
 
Watu maskini na wajinga usiwapatie demokrasia pana sana, maana wataitumia demokrasia hiyo kwenye kuandamana, kidai huduma na kugomea mipango yote ya serikali Kila siku bila wao kitimiza wajibu wao.

Tunataka katiba mpya ambayo itawalazimisha watu wote kufanyakazi na kuwajibika kwa matendo yao mazuri na mabaya bila kuoneana haya.

Tunataka katiba ambayo asiyelipa Kodi anafungwa na kufilisiwa hadharani na anaeiba au kutumia vibaya Kodi anahukumiwa hadharani bila kujali cheo Wala jinsia yake.

Katiba kama ya Kenya haifai kwenye mataifa maskini sana kama yetu. Katiba yao itawaletea umaskini wa hali ya juu kabisa.

Katiba ya Tanzania is the best kwa nchi maskini kama yetu. Ni katiba ambayo imewezesha watu kuswagwa kwenda Dodoma kwa gharama ndogo, kujengwa kwa bwawa la Nyerere, kujenga SGR ya umeme na mabarabara kwa gharama ndogo kabisa, kufuta hati za ardhi na kugawa ardhi kwa gharama ndogo kabisa. Katiba ya Tanzania imewezesha bomba la mafuta kutoka Uganda lipitie Tanzania badala ya Kenya kwa gharama ndogo.

Hakuna demokrasia kwa wenye njaa, kiu na wagonjwa. Tutafute katiba ambayo itamswaga Kila mtu afanyekazi na kutimiza wajibu wake kikamilifu. Wakoloni walitudanganya sana kuhusu demokrasia Afrika....
America, Ulaya yote, Scandinavia yote, New Zealand, austsria,demokrasia ilianza kwanza, watu wakawa huru kujitafutia raha na ukwasi bila kuwekewa vikwazo na chama tawala,
Hizo nchi wananchi wake ni matsjiri Sana, kwa sababu ya denikrasia, taiwan, Korea ya kusini nchi tajiri na wananchi matsjiri kwasabu ya demokrasia,
China, Russia, hakuna drmokrasia kama ya magharibi Ila nchi ni tajiri na wananchi ni matsjiri, upon hv hz nchi viongozi wanatumia rasilimali za nchi kujenga nchi na maisha mazuri ya wananchi, hawaibi Mali ya umma, hakuna demokrasia, lakini ajira kibao,elimu Bora, Arya Bora, kila kitu ni super, tuje bongo sasa, mi CCM inazuia demokrasia ili iibe mali ya umma na kujenga u tajiri wa familia zao tu!
Kwa ufupi CCM inapenda watz wabaki maskini, na afya mbovu ili watawalike kirahisi!. CCM ni shetani wa mguu mmoja,
Ili tutoke hapa, demokrasia ni muhimu,
Pale Kenya, serikali inasema haina pesa ya kulipa madokta,Ila pesa ya ofc ya first ladies IPO!
 
Duuuh! Katiba ya Tanzania ni bora ?!🤡

Hivi Rais wa Tanzania anaweza fungwa ?
Ndio maana ninasema katiba yetu mpya imfanye Rais aweze kufungwa hata kunyongwa mpaka kufa kama akitukosea vya kutosha kwenye wizi na ubadhilifu.
 
America, Ulaya yote, Scandinavia yote, New Zealand, austsria,demokrasia ilianza kwanza, watu wakawa huru kujitafutia raha na ukwasi bila kuwekewa vikwazo na chama tawala,
Hizo nchi wananchi wake ni matsjiri Sana, kwa sababu ya denikrasia, taiwan, Korea ya kusini nchi tajiri na wananchi matsjiri kwasabu ya demokrasia,
China, Russia, hakuna drmokrasia kama ya magharibi Ila nchi ni tajiri na wananchi ni matsjiri, upon hv hz nchi viongozi wanatumia rasilimali za nchi kujenga nchi na maisha mazuri ya wananchi, hawaibi Mali ya umma, hakuna demokrasia, lakini ajira kibao,elimu Bora, Arya Bora, kila kitu ni super, tuje bongo sasa, mi CCM inazuia demokrasia ili iibe mali ya umma na kujenga u tajiri wa familia zao tu!
Kwa ufupi CCM inapenda watz wabaki maskini, na afya mbovu ili watawalike kirahisi!. CCM ni shetani wa mguu mmoja,
Ili tutoke hapa, demokrasia ni muhimu,
Pale Kenya, serikali inasema haina pesa ya kulipa madokta,Ila pesa ya ofc ya first ladies IPO!
CCM ndio mwiba (thorn) wetu Tanzania, CCM haina tofaiti na museveni, Kagame na wengine wanaong'ang'ania madaraka milele, tofaiti wale ni watu binafsi lakini huku ni kundi la watu na familia zao. Leo hii kwenye kundi hilo lazima utawakuta watoto na ndugu za viongozi wa CCM na serikali wa tangu nchi inapata uhuru. Kundi hilo utawakuta watoto na wajukuu wa Nyerere, Kawawa, Boman, Warioba, Msekwa, Bulembo, Ditopile, Makamba, sokoine, Mwinyi, mongela, Bitiku, Bibi Titi, Mkapa, Kikwete, magufuli, Karume, Kumbe, Thabit, nk. Kundi hilo limejipanga kusalia milele madarakani inyeshe mvua litoke jua. Wazee wao waliingia kwa sifa zao lakini watoto na wajukuu wanaingizwa kwa huruma, utashi na slogan ya scratch my back to scratch your back tomorrow.
 
Back
Top Bottom