Katiba mpya isipopatikana 2014; Nini cha kufanya?

Mkuu nimeanza kuelewa mantiki ya Uzi huu. Huku tuendako kweli ni vizuri tukasoma alama za nyakati na kuja na way forward badala ya kukaa kimya then mwisho wa siku tuweke mikono kichwani.

Nitaleta ushauri wangu hapa muda si mrefu.
 
yani kaka walinifunga ndo nimeingia sasa yani watu wamjengo huu
 
Tunayo KATIBA ya JMT nzuri tu. Hata tusipopata hii mpya tutaendelea na iliyopo.

Tatizo tulilonalo ni UONGOZI BORA na IMARA wa kuilinda na kuitetea Katiba. Hata tuandike katiba nzuri vipi kama ulinzi na utetezi wake ndio huu hakuna jipya.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…