Wanasiasa wakae pembeni watuachie wananchi tudai katiba yani
NB. hii ikikaa kisiasa italeta mvutano wa kivyama hatutapa Katiba
- Viongozi wa dini
- Asasi za kiraia
- Waandishi wa habari
- Wakulima
- Wafanyakazi
- Machinga, boda na bajaj
- Nk
NB. hii ikikaa kisiasa italeta mvutano wa kivyama hatutapa Katiba