Resilience
JF-Expert Member
- Jan 4, 2023
- 1,096
- 4,948
Hakuna fedhea na utumwa wa fikra kama mwaume mwenye familia kwenda kupiga magoti Kwa kiongozi WA kisiasa wakiamini NI Mungu.
Namna Watanzania wanavyomsujudia mwanadamu just Kwa Sababu ana madaraka ina kera zaidi hata ya utumwa.
Endapo katiba mpya itaondoa mamlaka makubwa ya kuteua zikabaki nafasi za kuomba Kwa kufanyiwa USAHILI kama Kenya naamini watu watajikita kufanya KAZI siyo kupiga magoti.
Sijui watoto wa wapiga magoti wanajisikiaje wakiwaona wazazi wao wamepishwa magoti.
Nimeandika Uzi huu baada ya kusikia kuna kampeni ya kumpigia mama magoti nchi nzima imezinduliwa rasmi. Tujitafakari umuhimu wa magoti kwenye kuondoa njaa na umaskini NI UPI?
Namna Watanzania wanavyomsujudia mwanadamu just Kwa Sababu ana madaraka ina kera zaidi hata ya utumwa.
Endapo katiba mpya itaondoa mamlaka makubwa ya kuteua zikabaki nafasi za kuomba Kwa kufanyiwa USAHILI kama Kenya naamini watu watajikita kufanya KAZI siyo kupiga magoti.
Sijui watoto wa wapiga magoti wanajisikiaje wakiwaona wazazi wao wamepishwa magoti.
Nimeandika Uzi huu baada ya kusikia kuna kampeni ya kumpigia mama magoti nchi nzima imezinduliwa rasmi. Tujitafakari umuhimu wa magoti kwenye kuondoa njaa na umaskini NI UPI?