Katiba mpya itatuletea matatizo haya 3 makubwa kwa nchi yetu

Mkuu
Nimeishia kusoma hapo uliposema WATANZANIA WENGI NI WAJINGA.... Hapana mkuu wangu.

Watanzania wengi wana hofu kubwa ya kushughulikiwa kikatili na dola endapo wataonesha kutoikubali CCM wazi wazi.

Usiwaite Wajinga watu ambao wanavumilia ili kutoliingiza taifa machafukoni
 
Kukazia mkuu.Haya yote yakiwa chini ya Chama na Viongozi wa ChichieM....!
 
Wapiga Kura wenyewe ndo hao wanapigwa kila siku mara kalyanda..mara Jatu...mara Mr Kuku...
 
UPUUZI MTUPU
1.
Chama kinateua mtu wanyemuamini, kisha ndio huletwa mbele ya Wananchi kupigiwa kura,Kiongzi mbaya ataokea wapi hapa? Kuna Kamati za Maadili ya Viongozi, zinatakiwa ziwahakiki wagombea na 'Merits' zao kabla kupitishwa kugombea dhamana ya nchi, yote ni kuhakikisha hatuletewi kichaa kama yule anayefukuza watu kazi jukwaani.

2. Tanzania hilo halipo, wali haliwezi kuruhusika.

3. Rushwa itokee wapi ikiwa jukwaa la kampeni liko sawa kwa wote?
serikali ndio itowe gharama za mikutano ya wagombea bila kujali ukubwa wa chama kisha uone kama kuna atakayetowa rushwa.

Tunataka Katiba Mpya NOW not tomorow
 
Rushwa imefanywa sana na hakuna Mtz asiyefahamu Kama ripoti ya CAG ilibamiza vichwa vyetu ssa iwe je unawaita wajinga ilhali Wenye Akili Wametulia wakiangalia Rushwa zikiendelea
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…