Wakili wa shetani
JF-Expert Member
- Nov 22, 2022
- 1,726
- 3,391
Suala la kuwakilisha wananchi halipaswi kuhodhiwa na mtu mmoja kwa muda usio na ukomo. Ni vyema katiba mpya ikaweka ukomo wa mtu kuwa mbunge. Haiwezekani mtu alikuwa mbunge au diwani toka enzi za Mkapa. Hadi leo kwa Rais wa nne bado anataka kuendelea kuwakilisha wananchi. Na bado anataka kuendelea kuwa muwakilishi wa wananchi.
Hakuna mawazo mapya, wamebaki kusema tunafanyaga hivi nk. Ni vyema nafasi ya kuwakilisha wananchi ikawa na ukomo kama ambavyo kuna ukomo wa Urais.
Hakuna mawazo mapya, wamebaki kusema tunafanyaga hivi nk. Ni vyema nafasi ya kuwakilisha wananchi ikawa na ukomo kama ambavyo kuna ukomo wa Urais.