Pamoja na ufisadi wote aliokuwa nao, Ngereja anataka kurudi tena bungeni 2026. Wengi wanaona atatoboa maana ni timu Msoga.
Pamoja na mbunge aliyepo sasa kukubalika na wananchi wa jimbo la Sengerema, lakini inavyoonekana hatatoboa maana alikuwa timu Magufuli.