Harakati za mapambano ya kujikomboa hazijawahi kuwa rahisi. Harakati hizi zinahitaji uongozi mahiri wenye kuweka maslahi ya taifa mbele dhidi ya maslahi yote binafsi.
Ujio wa Mh. Tundu Lissu Jan 25 unapaswa kuonekana nI mbaraka kamili kutokea kwa Mola na kwa hakika na aje na wenzake.
Mama Samia anapaswa kushukuru kuweza kupata msaada huu wa dhati kwenye ujio wa Lissu kuuondoa uozo uliopo. Nani anaweza kutokufurahia nchi hii ikiwa na namna iliyo bora kabisa ya uendashwaji na maisha bora kwa kila mmoja wetu?
"Anasema Samia kwenda mbali tushirikiane sote. Ya nini siasa za chuki, utengano au ubaguzi? Kwa nini kuwatenga wengine wanaofaa kwa sababu ya itikadi zao tu?"
Kumwondoa Yahya Jammeh mwiba kwa wengi Gambia hakukuwa rahisi na pasipokuwa na kuepuka yaliyokuwa malipo kamili:
Ebrima Solo Sandeng mpigania haki mahiri katika kifo aliwaamsha wagambia kumwambia Jammeh inatosha.
Mama Samia zingatia tunataka katiba mpya sasa ambayo ni kheri kushirikiana sote kuipata kuliko kuipata Kwa kuipambania.
Waungwana wanasema mwenye macho haambiwi tazama na mwenye masikio na asikie.
BBC
Ujio wa Mh. Tundu Lissu Jan 25 unapaswa kuonekana nI mbaraka kamili kutokea kwa Mola na kwa hakika na aje na wenzake.
Mama Samia anapaswa kushukuru kuweza kupata msaada huu wa dhati kwenye ujio wa Lissu kuuondoa uozo uliopo. Nani anaweza kutokufurahia nchi hii ikiwa na namna iliyo bora kabisa ya uendashwaji na maisha bora kwa kila mmoja wetu?
"Anasema Samia kwenda mbali tushirikiane sote. Ya nini siasa za chuki, utengano au ubaguzi? Kwa nini kuwatenga wengine wanaofaa kwa sababu ya itikadi zao tu?"
Kumwondoa Yahya Jammeh mwiba kwa wengi Gambia hakukuwa rahisi na pasipokuwa na kuepuka yaliyokuwa malipo kamili:
Ebrima Solo Sandeng mpigania haki mahiri katika kifo aliwaamsha wagambia kumwambia Jammeh inatosha.
Mama Samia zingatia tunataka katiba mpya sasa ambayo ni kheri kushirikiana sote kuipata kuliko kuipata Kwa kuipambania.
Waungwana wanasema mwenye macho haambiwi tazama na mwenye masikio na asikie.
BBC