Je, huoni kuwa ni Zanzibar ni nchi , ina katiba, ina bunge lake, ina rais wake, ina wimbl waje wa taifa? xHii Zanzibar iliungana na nani mpaka tukapata Tanzania? Hiyo nchi iko wapi?
Kama Zanzibar ni nchi mbona haichangii cho chote kwenye muungano?
Wabunge wa Zanzibar hushiriki kwenye vikao vya bunge la Tanganyika ni serikaliinayolipa kila kitu chao, posho, mpaka pesa za majimbo wkt skule kuna serikali inayojitegemea.
Sasa hivi tuna rais anatawala Tanganyika kwa kuwa Zanzibar haichangii kwenye muungano.
Wengine wanasema Waziri mkuu anatawala Tabganyika sio kweli.bAnayetawala ni yule anayemteua ndiye mtawala. Rais aliyepo Mzanzibari anasimamia serikali ya Tanaganyika lakini sio ya Zanzibar. Kwa kuwa Zanzibar ina rais wake na serikali yake. Anayetawala Tanganyika mbona siye aliyechaguliwa na Watanganyika kama Zanzibar wanavyoteua wao. Kwanini tunyimwe haki hii yetu ya kikatiba ndio maana tunataka serikali yaTanganyika kwenye muungano usoeleweka