Katiba Mpya: Mimi ni CHADEMA lakini kwa hili nasema NO, tena Big No

πŸ™ŒπŸΎπŸ™ŒπŸΎπŸ™ŒπŸΎπŸ™ŒπŸΎπŸ™ŒπŸΎπŸ™ŒπŸΎπŸ™ŒπŸΎπŸ™ŒπŸΎπŸ™ŒπŸΎπŸ™ŒπŸΎπŸ™ŒπŸΎπŸ‘πŸ½


Huwezi kuwa chadema wewe mpumbavu na dhuluma ya uchaguzi wa Mwaka Jana ukiongea mambo ya ki mat*ko hapa wakati watu wameumia! Sitaki kukutukana!

Kaa huko CCM na akili za kipumbabu!
Huwezi kuwa chadema wewe mpumbavu na dhuluma ya uchaguzi wa Mwaka Jana ukiongea mambo ya ki mat*ko hapa wakati watu wameumia! Sitaki kukutukana!

Kaa huko CCM na akili za kipumbabu!
 
[emoji1487][emoji1487][emoji1487][emoji1487][emoji1487][emoji1487][emoji1487][emoji1487][emoji1487][emoji1487][emoji1487][emoji1417]

Bahati mbaya sana humu tunatumia fake ids.mwaka jana nilisimamia uchaguzi kiukweli kilichotokea ni ujinga yaani haukuwa uchaguzi ule japo chadema nao walifanya uzembe kiasi fulani.mkuu tuwe na tabia ya kukubali kutofautiana.nimekushangaa mtu kama wewe unareply comment ya mtu aliyetoa matusi badala ya hoja.huyo jamaa mimi nimempuuzia wala sijajibu coment yake hata moja ila wewe umemshangilia [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]halafu sisi ndio makamanda wa jf dah[emoji23][emoji23]bado sana hii safari Maana hakuna tofauti ya lumumba na bavicha
 
Kuna uwezekano ukawa na serikali mbili kwenye srikali ya muungano serikali ya mapinduzi ya zanzibar na serikali ya Tanganyika lakini siyo kwenye mfumo wa shrikisho no!

Kikubwa si umenielewa lakini?
 
Kwa katiba tulionayo hata CCM wenyewe ukiachana na CCM maslahi nao wanataka katiba mpya yenye serekali 3 Zanzibar iwe na serekali yao inayoongozwa na wazanzibar wenyewe, kuwepo na serekali ya Tanganyika itakayokuwa inaongozwa na watanganyika wenyewe na kuwepo na serekali ndogo ya muungano itakayokuwa inaongozwa kwa kushirikiana pande zote mbili Zanzibar ama Tanganyika.

Lakini kwa katiba hii tukubali kuwa kwa sasa hivi wataganyika tutakuwa bench kwa muda usiyojulikana,hatamu ya uongozi iko kwa wazanzibar pande zote mbili visiwani na bara na hata wakiamua kufuata mfumo wa Magufuli wa nyumbani kwanza,hakuna atakayepinga na mambo yote ya wazanzibar yatafanywa na kodi ya watanganyika lakini yatakuwa ni kwa manufaa ya wazanzibar na si watanganyika.
 
Kuna uzi ulianzisha ukisema hautapiga kura tena mpaka unaingia kaburini sasa CHADEMA unaifuatilia ya nini wakati hata kura hupigi ?
 
Kuna uzi ulianzisha ukisema hautapiga kura tena mpaka unaingia kaburini sasa CHADEMA unaifuatilia ya nini wakati hata kura hupigi ?

Jikite kwenye hoja mkuu.naomba uusome uzi wangu vizuri
 
Wewe CCM labda useme ulikuwa chadema ila leo umehamiaCCM
 
Rasimu ya Warioba ilikuwa na mapungufu mengi tu. Hata hilo la serikali 3 huyo mzee alilichomekea tu.
 
Katiba ni hitaji la wananchi wote wa Tanzania kwa sasa isipokuwa wewe ambaye ni juvenile siku ukiwa senior davis utaelewa
 

Hivi una hoja ya kujibiwa? Hivi Mfano Kabudi aliyekuwa kwenye tume ya warioba, Jana katoa hoja? Hiyo hoja yake unaijibuje?
 
Nilichokuja kugundua Hawa watu lugha zao ni matusi tu. Hakuna anayeweza kufikiri hata Jambo kwa undanikidogo na kusema hili ni sahihi.

Namna hii hakuna chama hapo ni kupotezeana muda tu.
Kama mwenyekiti wa chadema na team yake wangewekeza nguvu zao kwa wasomi na watu makini basi chama chao kingekuwa kishachukua dola kitambo sana. Lakini mwenyekiti sijui kwa bahati mbaya, au kwa makusudi kabisa ili aweze kupata watu wa kuwatawala vizur kufikra na kiakili amewekeza nguvu zake kwa mateja, wanywa gongo, vibaka na makabwela wasiojua ruzuku ya chama inaingia vipi, inaliwa vipi, na nani na wakati gani. Hii imesababisha mwenyekiti akifanye chama kama kampuni yake ya kuchotea pesa, na kufanya atakavyo bila wanachama wake kugundua.
 
Wewe sio CHADEMA.
Umetumwa au umeagizwa na unaowalamba miguu
 
Heri chadema wewe unasema ukweli kiasi. Ila nikuulize eti ulisimamia uchaguzi uliona nini mbona huelezi kinaga ubaga. Ndio ile mumeshindwa vibaya kila mahali halafu mnajidai mumeibiwa kura..eti nyie ndio mlishinda πŸ˜‚πŸ˜‚
 
I beg to differ kidogo, CHADEMA wamewekeza kwa wasomi Ila wale ambao ni less privileged Wana hasira kama mama mjamzito aliyeachwa na mume.

Vijana fulani 18-30 wapo hapo na hao wanahussle na maisha so hawajui namna ya kutafuta fursa kwa kutumia akili na sio mihemko.

Sisi wakati tunamaliza chuo na akina John Mrema na Mnyika na wengine akina Msando na Zitto vijana walikuwa na critical thinking yani ilikuwa wakisimama Nkrumah Hall enzi Ile Mzee Mkapa alikuwa anapenda kuja kuongea na wanafunzi wa chuo kikuu, walikuwa wanampa challenges mpaka Rais anatoka jasho kwa maswali na mawazo yaliyoshiba tena kwa staha sio matusi tu. Pale ilikuwa akitaka kuja anajipanga haswa maana alikuwa anakuwa challenged zile strategy zake za kiuchumi watu walikuwa wanampa challenges na inafika wakati anakubali kubadili strategy Ila angalia vijana wa sasa wanaishia kutukana na hakuna hoja. Yani hoja ni matusi.

Wakiwatumia vizuri Hawa ndio wenye ushawishi mkubwa sana kwakuwa ndio nguvu kazi ya taifa. Ila vijana wa kundi hili wamejikuta wanaishia kutukana kila mtu anayeshauri wafanyaje ili wapate public support kwa siasa zao.

Haiingii akilini mtu mzima umekaa unawapa ushauri unashangaa kijana anatukana tu, halafu umetoa mawazo mazuri tu ambayo angeweza sio lazima kuyakubali lakini akashukuru kwa ushauri, but utashangaa lundo la matusi tu.

Kwa namna hiyo, hakuna middle class atakayeona hiki ni chama madhubuti, hii iliwakuta NCCR maana ndio walikuwa chama kikubwa zaidi Ila Leo kinaelekea kufa.

Isingekuwa mlengo wa siasa flani za Zitto ACT wangekuwa juu sana kwa sasa na ingekuwa ndio mwisho wa CHADEMA.

Ila waendelee kutukana hata ambao sio CCM tutaona tu.
 
Habari za lumumba?
Habari za Lumumba?
Hawajambo?
Uliona njia ya mkato ni kujidanganya uko ule upande!!
 
Nashukuru kwa kuongeza nyama mkuu, lkn wasomi wengi kina Mabere Marando, prof Safari nk wameshakikimbia chama na waliobaki wameamua kukaa kando, baada ya kugundua kwamba viongozi wa juu kitaifa wameanza kuwatumia vijana walevi, wavuta bangi na vibaka kujenga hoja mfu mitandaoni na kukitetea chama kwa style ya matusi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…