gwamaka aswile
Senior Member
- Mar 26, 2015
- 186
- 106
Licha ya baadhi ya watu hususan kutoka kambi ya upinzani kudai kwamba Katiba Inayopendekezwa imelenga kukinufaisha Chama Cha Mapinduzi, napingana nao pia naomba Watanzania waisome kwa umakini watabaini ukweli na kuachana na propoganda zinazotolewa na watu hao. Wakiisoma naamini hawatasita kuipigia kura ya ndiyo muda utakapofika kwa ndiyo mkombozi wao.