gwamaka aswile
Senior Member
- Mar 26, 2015
- 186
- 106
Viroba vya mchana na mahindi ya kuchoma noma sana
Wewe ndo umelishwa hivyo viroba na mahindi ya kuchoma, mwehu weeeeeViroba vya mchana na mahindi ya kuchoma noma sana
Viroba vya mchana na mahindi ya kuchoma noma sana
Licha ya baadhi ya watu hususan kutoka kambi ya upinzani kudai kwamba Katiba Inayopendekezwa imelenga kukinufaisha Chama Cha Mapinduzi, napingana nao pia naomba Watanzania waisome kwa umakini watabaini ukweli na kuachana na propoganda zinazotolewa na watu hao. Wakiisoma naamini hawatasita kuipigia kura ya ndiyo muda utakapofika kwa ndiyo mkombozi wao.
Hivi wewe umetumwa na nani!? Ni kweli kuwa tunahitaji Katiba Mpya itutoe hapa tulipokwama lakini siyo Katiba Pendekezwa! Hiyo Katiba yenu Pendekezwa na CCM imefuta haki za binadamu zisiingie kwenye katiba kwa madai kuwa zitatungiwa sheria, hivi ni mtawala gani ambaye anapenda kutoa haki za binadamu na kubanwa na sheria!
Wewe ndo umetumwa mwehu weweee unaongea tu, weka ushahidi ni wapi katiba hiyo imefuta haki za binadamu. Acha kudanganya watu humu ndani utaolewaHivi wewe umetumwa na nani!? Ni kweli kuwa tunahitaji Katiba Mpya itutoe hapa tulipokwama lakini siyo Katiba Pendekezwa! Hiyo Katiba yenu Pendekezwa na CCM imefuta haki za binadamu zisiingie kwenye katiba kwa madai kuwa zitatungiwa sheria, hivi ni mtawala gani ambaye anapenda kutoa haki za binadamu na kubanwa na sheria!
Licha ya baadhi ya watu hususan kutoka kambi ya upinzani kudai kwamba Katiba Inayopendekezwa imelenga kukinufaisha Chama Cha Mapinduzi, napingana nao pia naomba Watanzania waisome kwa umakini watabaini ukweli na kuachana na propoganda zinazotolewa na watu hao. Wakiisoma naamini hawatasita kuipigia kura ya ndiyo muda utakapofika kwa ndiyo mkombozi wao.
Watanzania afadhali wachomwe moto Mungu aumbe upya!
Watanzania wanavyopenda sembe nani akubali upuuzi wako kachomwe peke yako,Katiba mpya ni lazima!
Wewe ndiye wa kuchoma, mawazo yako yanaonyesha jinsi ulivyombali na kila kitu. Kwa heri. Sitakujibu tena usisumbuke
fulsa sawa gender issue 50/50licha ya baadhi ya watu hususan kutoka kambi ya upinzani kudai kwamba katiba inayopendekezwa imelenga kukinufaisha chama cha mapinduzi, napingana nao pia naomba watanzania waisome kwa umakini watabaini ukweli na kuachana na propoganda zinazotolewa na watu hao. Wakiisoma naamini hawatasita kuipigia kura ya ndiyo muda utakapofika kwa ndiyo mkombozi wao.
fulsa sawa gender issue 50/50
walemavu
albnisms
nk
mie nafikri hivi ni vidogo hata nchi zilizo endelea sidhani wamefanya hivi
maadili,ya viongozi.mikataba c siri kwani ni vyetu
Licha ya baadhi ya watu hususan kutoka kambi ya upinzani kudai kwamba Katiba Inayopendekezwa imelenga kukinufaisha Chama Cha Mapinduzi, napingana nao pia naomba Watanzania waisome kwa umakini watabaini ukweli na kuachana na propoganda zinazotolewa na watu hao. Wakiisoma naamini hawatasita kuipigia kura ya ndiyo muda utakapofika kwa ndiyo mkombozi wao.
Weka na rejea mbili tatu
Watanzania tuchukue muda wetu kuisoma katiba inayopendekezwa ili tusipotoshwe,kwa kuwa ni haki yetu kuisoma na hatimaye kufanya maamuzi