Katiba Mpya ni kete kwenye ilani ya CHADEMA 2025

Kwa kweli ni ngoma nzito. Lakini sio sababu ya kutopiga na kupaza sauti mpaka wakubali. Tukiwa wamoja inawezekana. Ile hatua iliyofika ni 50% Twaweza kwenda tena 75%
Nasema kuwa mchakato wenyewe ni wa hovyo hivyo sheria ya uundwaji wa katiba mpya lazima kwanza ibadilishwe kwanza la sivyo tutapata kichekesho cha katiba si katiba inayokidhi kiu ya wananchi bwashee
 
kete gani wakati hawashiriki uchaguzi
 
Nasema kuwa mchakato wenyewe ni wa hovyo hivyo sheria ya uundwaji wa katiba mpya lazima kwanza ibadilishwe kwanza la sivyo tutapata kichekesho cha katiba si katiba inayokidhi kiu ya wananchi bwashee
Yote yanawezekana kama tuna nia na taifa letu. Hatuna nchi nyingine zaidi ya Tanzania. Tukipaza sauti inawezekana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…