Wana jamii vipi, mbona kimya ivo. Mmelidhika, hamhitaji katiba mpya? Katiba mpya tena yawalioba, ni mali yetu wananchi tuidai kwanguvu zote.
AMKA MWANA WA NCHI. KATIBA. MPYA NI HAKI YETU. ASIYEDAI SIO MZARENDO.
Wana jamii vipi, mbona kimya ivo. Mmelidhika, hamhitaji katiba mpya? Katiba mpya tena yawalioba, ni mali yetu wananchi tuidai kwanguvu zote.
AMKA MWANA WA NCHI. KATIBA. MPYA NI HAKI YETU. ASIYEDAI SIO MZARENDO.