Katiba mpya ni mali ya wananchi

Katiba mpya ni mali ya wananchi

KIBESENI

JF-Expert Member
Joined
Jul 7, 2011
Posts
360
Reaction score
351
Wana jamii vipi, mbona kimya ivo. Mmelidhika, hamhitaji katiba mpya? Katiba mpya tena yawalioba, ni mali yetu wananchi tuidai kwanguvu zote.
AMKA MWANA WA NCHI. KATIBA. MPYA NI HAKI YETU. ASIYEDAI SIO MZARENDO.
 
Wana jamii vipi, mbona kimya ivo. Mmelidhika, hamhitaji katiba mpya? Katiba mpya tena yawalioba, ni mali yetu wananchi tuidai kwanguvu zote.
AMKA MWANA WA NCHI. KATIBA. MPYA NI HAKI YETU. ASIYEDAI SIO MZARENDO.
Uzalendo huo vp
 
Back
Top Bottom