Katiba Mpya: Nitakuwa Tayari Kupokea Maoni Yako Kuanzia Leo!


He! Kumbe na wewe hua unaweza kutoa Michango ya Kujenga namna hii.Sasa Mbona Wakati Mwingine unavaa Miwani ya Mbao yani Huwezi kuona vile!!!
 

Mhhhhhh! makubwa tena!
 

Naunga Mkono Hoja za Mjumbe isipokua hoja no. 5 Inahitaji Marekebisho.Hasa kufuta Wizara ya Michezo na Utamaduni!
 
Hongera sana mhe. Daktari kweli wewe ni muwakilishi wa wananchi. Mawazo yangu ni haya;
1. Mahakama, Huu ni muhili ambao unahitaji ujadiliwe kwa kina sana ili uweze kufanya kazi zake kwa uhuru bila woga, na hili litawezekana tu endapo nafasi ya Jaji mkuu itakuwa ni nafasi ya kuchaguliwa, Kama ilivyo kwa spika wa bunge anachaguliwa na wabunge kisha jina lake lina thibitishwa na rais. Jaji mkuu achaguliwa na wanamahakama wenyewe Kisha jina lake lithibitishwe na rais, maslahi ya mahakimu pia yatambuliwe ndani ya katiba kima ilivyo kwa majaji,hii itasaidia sana ktk kupunguza suala la rushwa, pia lugha rasmi ya mahakam pamoja na uwelaji wa kumbukumbu za mahakama ziwekwe kwa lugha ya kiswa, Hii itasaidia wananchi walio wengi kufahamu kwa wepesi jinsi ya kupata haki zao na pia kuelewa jinsi ilivyo tolewa.ni kwamahakama zote.
2. Ukomo wa majaji uwe miaka 50, hii itasaidia sana.
3.Tume ya mahakama kiwe chombo cha kujitegemea M.kiti wake afanye application asiteuliwe

4.
 
Nawashangaa waTanganyika hakuna anaesema hataki muungano .,., yupo ataeweza kutoka jibu ???
 
Kaseme ndioooo, ---- you chadema, ndo ulivyofundishwa na yule msaga nywele ofisi ya spuka
 

Kwa nini usitaje hapa msimamo wako juu ya Muundo wa Muungano. Hao waandishi wa habari wa nini? By the way, kwa maoni ya wengi waliochangia humu, wengi wanataka serikali3, hivyo tunakuomba ukawaambie waheshimiwa wa Chama, kuwa kwa upepo ulivyo serikali mbili hazikubaliki tena, na kwamba wale wanaoitwa Watanzania Bara, wanaitka Tanganyika yao Huru. Kwa kuwa serikali 2 hazikubaliki, basi mwendo ni wa serikali1, ikishindikana basi ni serikali3.
 
Dhana ya muundo wa serikali ni dhana ya kisiasa tu.........kuna mengi ya kujikita kwayo
 
Ok,ikifutwa nini ushauri wako hasa juu ya hili,hupendi Maendeleo ya Michezo Tanzania? Nini kifanyike kama mbadala?

TFF, TOC etc vijitegemee na kujuiendesha vyenyewe bila wizara ya michezo
 
Baraza la sanaa la taifa linatosha kusimamia mambo ya Utamaduni

Laiti kama Vingozi wetu wangekua sikivu wakaendesha Nchi kwa Mawazo na Michango ya Watu,wataalamu na Wadau mbalimbali.Tanzania ya sasa ingekua mbali sana.Ila wao wakilala wakiamka bila ata kushirikisha wataalamu utasikia "tunaanzisha Physics with Chemistry,Div 5,Vipindi vya bunge havitarushwa hewani kulinda Heshima ya Bunge,Tunaanzisha Digitali na asiyetaka na aache kuangalia TV,e.t.c.... to mention but few...This is very shameful!
 
Nimefuatilia maoni yako nimeridhika isipokuwa sijapata maoni yako juu ya separation of powers na tume huru ya uchaguzi iweje
 
Though watch out with what we re getting from various sources about prep of political party of pushing out there agenda which it seems to be very contrally to what warioba presented which we believe its peolpes wish and ideas and allot of resources wasted who to be blamed if are to be sidelined
 
1. Mtanganyika + CCM = mtetezi wa Tanzania (No matter what Znz is doing)
2. Mzanzibar + CCM = mtetezi wa Zanzibar
3. Mzanzibar + CUF = mtetezi wa Zanzibar
Sub-total = 80%
Who will stand for Tanganyika?
 
Mheshimiwa ulikuwa wapi wakati sheria ya marekebisho ya katiba inapitishwa bungeni? Sheria hiyo inasema tume ya sasa ya uchaguzi ndiyo itaendesha kura ya maoni; rasimu ya katiba inasema iundwe tume HURU ya uchaguzi; ina maana ya sasa siyo huru yaani iondolewe, Je unafikiri tume ya sasa ya uchaguzi itaweza kusema kuwa wananchi wametaka iondolewe wakati yenyewe ndiyo inasimamia kura hiyo? Hakuna mtu anayeweza kujipiga nyundo mwenyewe, labda mwendawazimu tu. Kwa hiyo basi, maoni yote tutakayokupa hayatasaidia chochote, hasa pale yatakapopingana na hao waliounda tume hiyo. Nadhani umenielewa. Kesho nitakupa maoni yangu kwa matumaini kuwa ukiingia bungeni utatoa hoja ya kutaka kipengele hicho cha sheria ya katiba kibadirishwe na majukumu hayo yarudishwe kwa tume ya Warioba kama ilivyokuwa kwenye sheria ya mwanzo kabisa.
 
viongozi na wanasiasa wote wawe wanalipa kodi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…