neggirl
JF-Expert Member
- Jul 30, 2009
- 4,849
- 2,132
Naunga Mkono Hoja za
Mjumbe isipokua hoja no. 5 Inahitaji Marekebisho.Hasa kufuta Wizara ya
Michezo na Utamaduni!
bora umenisaidia. jambo usilolijua ni sawa na usiku wa kiza. Watu wengi hawafahamu umuhimu wa utamaduni ktk maendeleo ya nchi.
I dought hata ktk hao wajumbe wa bunge hili kama kuna mwakilishi wa utamaduni.. hii nchi itauzwa lolz.