Naunga Mkono Hoja za
Mjumbe isipokua hoja no. 5 Inahitaji Marekebisho.Hasa kufuta Wizara ya
Michezo na Utamaduni!
Wizara ya michezo ni mzigo na ifutwe
Kama yepi?mkuu unafahamu kuwa wizara hyo inahusisha na masuala mengine muhimu kama habari na utamaduni?
Ndugu wanabodi,
Assalaam alaykum.
Siku nyingi sijaandika hapa na hata kusoma, nimekuwa bize sana na majukum mbalimbali ya kusongesha mbele maisha.
Leo nimeamka nikajifikiria niwataarifu waTanzania wenzangu kuhusu utayari nilionao wa kupokea maoni, michango yenu na ushauri utakaoniwezesha kupata mwangaza wa ni nini niseme Bungeni wakati tukipitia Rasimu ya Katiba Mpya. Nitakuwa nikirudi hapa kusoma na kujadili mambo mbali mbali yatakayohusu issues zitakazokuwa zikijitokeza kwenye mjadala wa Katiba.
Ninawakaribisheni kwa mjadala constructive hapa.
Kama kuna mambo tunapaswa kuwa serious nayo kama Taifa basi ni hili la kuandika Katiba Mpya ya nchi yetu. Yale matatizo ya kimfumo tunayoyaongelea miaka na miaka sasa huu ndiyo muda wa kuyashughulikia, hakuna muda mwingine.
Wakatabahu,
HK.
Tatizo wengi wetu humu ndani JF hatukuamini kwa kuwa umekuwa MNAFIKI na MSALITI sana.
Hata maoni ya madaktari wakati wa migomo yao 2012 ulitumwa na Bunge kwenda kuyakusanya lakini ulichokwenda Kukiwalisha bungeni ni mashudu yako matupu na sio uhalisia.
Dr.Kigwangwalla wewe bado sana, unajaribu kufanya mambo kama Mwigulu Nchemba ili kudraw attention za watu tu lakini huna dhamira yoyote njema.
Kwa kuanzia tu, embu tupe msimamo wako ni upi kwenye bunge la Katiba na nini utafanya katika haya:
1/Mfumo wa serikali (Utafuata sera ya CCM serikali mbili au Msimamo wa Warioba na watanzania wengi(61%) serikali tatu au vinginevyo).
2/Posho ya shilingi 700000/= kwa siku kwa kila mjumbe wa bunge la katiba kwa siku 70.
Ndugu wanabodi,
Assalaam alaykum.
Siku nyingi sijaandika hapa na hata kusoma, nimekuwa bize sana na majukum mbalimbali ya kusongesha mbele maisha.
Leo nimeamka nikajifikiria niwataarifu waTanzania wenzangu kuhusu utayari nilionao wa kupokea maoni, michango yenu na ushauri utakaoniwezesha kupata mwangaza wa ni nini niseme Bungeni wakati tukipitia Rasimu ya Katiba Mpya. Nitakuwa nikirudi hapa kusoma na kujadili mambo mbali mbali yatakayohusu issues zitakazokuwa zikijitokeza kwenye mjadala wa Katiba.
Ninawakaribisheni kwa mjadala constructive hapa.
Kama kuna mambo tunapaswa kuwa serious nayo kama Taifa basi ni hili la kuandika Katiba Mpya ya nchi yetu. Yale matatizo ya kimfumo tunayoyaongelea miaka na miaka sasa huu ndiyo muda wa kuyashughulikia, hakuna muda mwingine.
Wakatabahu,
HK.
Ndugu wanabodi,
Assalaam alaykum.
Siku nyingi sijaandika hapa na hata kusoma, nimekuwa bize sana na majukum mbalimbali ya kusongesha mbele maisha.
Leo nimeamka nikajifikiria niwataarifu waTanzania wenzangu kuhusu utayari nilionao wa kupokea maoni, michango yenu na ushauri utakaoniwezesha kupata mwangaza wa ni nini niseme Bungeni wakati tukipitia Rasimu ya Katiba Mpya. Nitakuwa nikirudi hapa kusoma na kujadili mambo mbali mbali yatakayohusu issues zitakazokuwa zikijitokeza kwenye mjadala wa Katiba.
Ninawakaribisheni kwa mjadala constructive hapa.
Kama kuna mambo tunapaswa kuwa serious nayo kama Taifa basi ni hili la kuandika Katiba Mpya ya nchi yetu. Yale matatizo ya kimfumo tunayoyaongelea miaka na miaka sasa huu ndiyo muda wa kuyashughulikia, hakuna muda mwingine.
Wakatabahu,
HK.
Ndugu wanabodi,
Assalaam alaykum.
Siku nyingi sijaandika hapa na hata kusoma, nimekuwa bize sana na majukum mbalimbali ya kusongesha mbele maisha.
Leo nimeamka nikajifikiria niwataarifu waTanzania wenzangu kuhusu utayari nilionao wa kupokea maoni, michango yenu na ushauri utakaoniwezesha kupata mwangaza wa ni nini niseme Bungeni wakati tukipitia Rasimu ya Katiba Mpya. Nitakuwa nikirudi hapa kusoma na kujadili mambo mbali mbali yatakayohusu issues zitakazokuwa zikijitokeza kwenye mjadala wa Katiba.
Ninawakaribisheni kwa mjadala constructive hapa.
Kama kuna mambo tunapaswa kuwa serious nayo kama Taifa basi ni hili la kuandika Katiba Mpya ya nchi yetu. Yale matatizo ya kimfumo tunayoyaongelea miaka na miaka sasa huu ndiyo muda wa kuyashughulikia, hakuna muda mwingine.
Wakatabahu,
HK.
Mh. Swala la serikali tatu. Najua wewe kwa msimamo wa chama chako, serikali tatu ndio chaguo.
Ila endapo mkizidiwa nguvu na wale 'wa tatu' basi kuwe na rais mmoja tu wa tanzania. Tanganyika na zanzibar kuwe na mawaziri wakuu kama viongozi wakuu. Mimi ishu ya kuwa na marais wa tatu, ni ukakasi ambao utakuja kuwa na mkanganyiko!
Hilo tu Mh!
Tumia Email hii kufikisha ujumbe kwangu: hkigwangalla@gmail.comTuwekee email address yako hapa na tuko tayari kukuleta maoni, ushauri na michango yetu kuhusu hoja mbali mbali za rasimu ya Katiba kwa Bunge maalum la Katiba. Tutashukuru kama maoni yetu utayafikisha huko. Mengi si vizuri na si rahisi kuyaandika humu, kwenye email ingekuwa ndiyo bora zaidi na ni nyepesi zaidi. Kwenye simu itakuwa usumbufu kwako
Hivyo tupe email address yako.
mkuu hebu tuwaulize tenaMimi nataka mshahara wa rais na viongozi wengine ambao mishahara yao inatoka kwa pesa za walipa kodi iwekwe wazi ili Mtanzania yeyote yule akitaka kujua ajue wapi pa kwenda kuzipata hizo taarifa.
Walipa kodi wana haki ya kujua pesa zao zinatumikaje.
Kwa dhama hizi sijuiMawaziri waajiriwe,lakini waingie bungeni kujibu maswali tu.