Jidu La Mabambasi
JF-Expert Member
- Oct 20, 2014
- 16,419
- 26,594
Leo Trump anachunguzwa na Serikali ya Marekani kwa wizi wa siri nzito za serikali. Siri hizo Trump anazifahamu kwa vile alihusika nazo, lakini kitendo cha kuziiba(kwa maana ya kuondoka na nyaraka za serikali kijinai) , Trump inawezekan akashitakiwa mahakamani.
Nchi yetu Tanzania vivyo. Katika lazima iwabane wananchi wote dhidi ya jinai. Kama Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania atatenda vitu vinavyoashiria kuwa ni makosa ya jinai, na achunguzwe na ashitakiwe.
Awamu iliyopita tumeona viashiria vingi tu vya matumizi maaya ya madaraka, wizi na hata watu kupotea bila meezao yanayoeleweka.
Nchi yetu Tanzania vivyo. Katika lazima iwabane wananchi wote dhidi ya jinai. Kama Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania atatenda vitu vinavyoashiria kuwa ni makosa ya jinai, na achunguzwe na ashitakiwe.
Awamu iliyopita tumeona viashiria vingi tu vya matumizi maaya ya madaraka, wizi na hata watu kupotea bila meezao yanayoeleweka.