nguruka wa kig0ma
JF-Expert Member
- Jan 16, 2020
- 2,946
- 2,932
Waraka huu wa kukushauri tu, ninavyowafahamu waislam ni watu wanaohubiri haki japokuwa swala ndiyo yenye nguvu kubwa ktk Uislam.
Yalipo kwenye utangulizi wa waraka wangu , moja linabeba pepo na jingine jehanam.
Kuwatumikia CCM wachache kwa maslahi yao ni sawa na mwislamu aliyesoma elimu dunia ambayo mwisho wa siku kifo kikimkuta anaenda kunako moto wa milele.
Kwasababu CCM haijawahi watendea haki watanzania hata walio CCM wenzao toka upatikane uhuru.
Wachache wanaonufaika na CCM kuwepo madarakani ndiyo wanaopinga mchakato wa Katiba Mpya maana maslahi yao yataondolewa.
Rais unajua kuwa kurudisha mchakato wa Katiba ni kuwakosea CCM, lakini kwa upande wa pili unajua kwa kutofanya hivyo unawaumiza wananchi waliowengi.
ATHARI
Swala zako hazitaswihi
Funga zako hazitaswihi
Utakuwa Mwislam wa dini na siyo haki
NAKUSHAURI RUDISHA MCHAKATO WA KATIBA BILA KUJALI LAWAMA ZA MACCM,LINDA IMANI YAKO.
HARI KULAUMIWA NA WANAADAM KULIKO KULAUMIWA NA MUNGU
Yalipo kwenye utangulizi wa waraka wangu , moja linabeba pepo na jingine jehanam.
Kuwatumikia CCM wachache kwa maslahi yao ni sawa na mwislamu aliyesoma elimu dunia ambayo mwisho wa siku kifo kikimkuta anaenda kunako moto wa milele.
Kwasababu CCM haijawahi watendea haki watanzania hata walio CCM wenzao toka upatikane uhuru.
Wachache wanaonufaika na CCM kuwepo madarakani ndiyo wanaopinga mchakato wa Katiba Mpya maana maslahi yao yataondolewa.
Rais unajua kuwa kurudisha mchakato wa Katiba ni kuwakosea CCM, lakini kwa upande wa pili unajua kwa kutofanya hivyo unawaumiza wananchi waliowengi.
ATHARI
Swala zako hazitaswihi
Funga zako hazitaswihi
Utakuwa Mwislam wa dini na siyo haki
NAKUSHAURI RUDISHA MCHAKATO WA KATIBA BILA KUJALI LAWAMA ZA MACCM,LINDA IMANI YAKO.
HARI KULAUMIWA NA WANAADAM KULIKO KULAUMIWA NA MUNGU