Nchi si shamba la bibi. Katika nchi, yote ni kwa mujibu wa katiba.
Kwa mujibu wa katiba, sote tuna haki sawa ambapo uamuzi ni kwa kura. Kura moja kwa mtu.
Si Samia, Zitto, Mukandara, Dr. Hosea au awaye yote kwamba wanaweza kujimilikisha mustakabala wa msingi wa nchi hii.
Labda kama wanataka kuleta fujo.
Inafahamika kuwa wapo watu wenye maslahi yao binafsi kwenye mahitaji haya ya msingi sana kwetu.
Uzi huu wa mwaka jana ungali unaishi:
Tutambuane, nani ni nani katika kudai Katiba mpya
Tunakoelekea mbona tusije kuja kumlaumu dobi?
Kwani la kuvunda liliwahi kuwa na ubani?
Kwa mujibu wa katiba, sote tuna haki sawa ambapo uamuzi ni kwa kura. Kura moja kwa mtu.
Si Samia, Zitto, Mukandara, Dr. Hosea au awaye yote kwamba wanaweza kujimilikisha mustakabala wa msingi wa nchi hii.
Labda kama wanataka kuleta fujo.
Inafahamika kuwa wapo watu wenye maslahi yao binafsi kwenye mahitaji haya ya msingi sana kwetu.
Uzi huu wa mwaka jana ungali unaishi:
Tutambuane, nani ni nani katika kudai Katiba mpya
Tunakoelekea mbona tusije kuja kumlaumu dobi?
Kwani la kuvunda liliwahi kuwa na ubani?