Samia Suluhu Hassan Rais wa jqmuhuri ya Muungano anatqkq kqtiba mpya. Kama utqkumbuka alikuwa makamu mwenyekiti kwenye lile bunge la katiba wakati wa mzee Kikwete.
Wasiotaka katiba mpya ni CCM. Ambao wanajuq wazi kabisa, kwamba siku ikipatikana katiba mpya tu ndio mwisho wao kuendelea kuitawala hii nchi.
Adui mkubwa wa watanzania kwa sasa ni CCM.