KATIBA MPYA: Umri wa Rais uwe kuanzia miaka 30

KATIBA MPYA: Umri wa Rais uwe kuanzia miaka 30

Masalu Jacob

JF-Expert Member
Joined
Jul 26, 2017
Posts
1,013
Reaction score
1,183
Habari Tanzania!

Kwakuwa taifa tunakwenda kutengeneza mifumo mizuri na sio watu au chama imara katika nchi. Nashawishika kwa kutoa wazo la umri wa Rais uwe kuanzia miaka 30 na kuendelea kwasababu zifuatazo;

1. Vijana ni wengi sana kuliko idadi kundi rika lolote Tanzania kwa umri tajwa.

2. Wazee kuanzia umri 45+ wapumzishwe wabaki kuwa washauri kwenye mambo yanayohitaji busara tu.

3. Uchama na Umaarufu hautakuwa maana; maana tutaangalia uwezo, ubora, namna unavyolifahamu taifa na mambo ya zingatio.

4. Umri ni kiashiria kizuri cha uwezo, juhudi, maarifa na uwezo wa kuishi kwa haki.

NB

Wazee mkalime na kulea wajukuu . Urais sio sehemu ya kupumzika au kujiegesha baaada ya kulitumikia Taifa.
 
Kwa nilichokishuhudia kwa vijana wachache tena waliozidi miaka 30 waliopata madaraka na mambo waliyofanya, kwakweli nina mashaka kama kijana wa mia30 akiwa raisi kama hawezi kugeuka Nero.

Anaweza kuwa unstoppable like a Porsche with no brakes
 
Kwa nilichokishuhudia kwa vijana wachache tena waliozidi miaka 30 waliopata madaraka na mambo waliyofanya, kwakweli nina mashaka kama kijana wa mia30 akiwa raisi kama hawezi kugeuka Nero.
Anaweza kuwa unstoppable like a Porsche with no brakes
Vijana wazuri wapo. Changamoto ni mazingira.

" Hakuna mtu/ watu wasio na uwezo; mazingira ndio huchangia 100%"
 
Hakuna Taifa linaloweza kukubali hilo na itakuwa ni chanzo cha migogoro ya kiutawala na kuleta uchu wa madaraka kwa wenye ndoto za kuwa marais wa nchi.

Ukuu wa wilaya tu unawashinda ije kuwa Urais
 
Habari Tanzania!

Kwakuwa taifa tunakwenda kutengeneza mifumo mizuri na sio watu au chama imara katika nchi. Nashawishika kwa kutoa wazo la umri wa Rais uwe kuanzia miaka 30 na kuendelea kwasababu zifuatazo...
7ya alikuwa na ngapi
 
Habari Tanzania!

Kwakuwa taifa tunakwenda kutengeneza mifumo mizuri na sio watu au chama imara katika nchi. Nashawishika kwa kutoa wazo la umri wa Rais uwe kuanzia miaka 30 na kuendelea kwasababu zifuatazo...
Kwenye ukuu wa wilaya tu umeona walivyo boronga. Wakipewa nchi yote hii si ndo basi tena..!! Hapana...! Hapana..! Hapana...!
 
Hakuna Taifa linaloweza kukubali hilo na itakuwa ni chanzo cha migogoro ya kiutawala na kuleta uchu wa madaraka kwa wenye ndoto za kuwa marais wa nchi.

Ukuu wa wilaya tu unawashinda ije kuwa Urais
Kaka Mkubwa ndio n maana tunataka KATIBA MPYA
 
Kwenye ukuu wa wilaya tu umeona walivyo boronga. Wakipewa nchi yote hii si ndo basi tena..!! Hapana...! Hapana..! Hapana...!
Hao ni UVCCM. Wanawakilisha chama na sio Taifa. Zingatia chaguo zao.
 
Hakuna Taifa linaloweza kukubali hilo na itakuwa ni chanzo cha migogoro ya kiutawala na kuleta uchu wa madaraka kwa wenye ndoto za kuwa marais wa nchi.

Ukuu wa wilaya tu unawashinda ije kuwa Urais
Naomba nikupe maarifa kidogo Kaka Mkubwa:
1. Urais ukiwa huo umri; kila taasisi itajikagua na kujipanga haswa kuandaa na kuwapiga msasa viongozi wajao. mfano taasisi familia, shule/ vyuo, vyama vya siasa, Dini, nk.

2. Taifa litapiga maendeleo kwa kazi sana na kila RAIA hapa Tanzania atoona shida na ataweza kuziheshimu taasisi zote kutokana na majukumu yao.,
 
Mimi napendekeza hata awe na miaka 21. Mbona waombea ubunge wanatakiwa kuwa na umri wa miaka 21?

Inadaiwa waliweka 40 kwa madai kwamba mtu anakuwa na hekima na busara kwenye maamuzi ktk umri huo. Sasa niwaulize Magufuli aliyekuwa na miaka 60 alikiwa hekima na busara?

Kwa taarifa yenu hekima na busara hazitegemei umri. It si an inborn character.

Tusinyimqne fursa kwasabb ya umri. John Mnyika ana busara mara 200 ya Magufuli
 
Habari Tanzania!

Kwakuwa taifa tunakwenda kutengeneza mifumo mizuri na sio watu au chama imara katika nchi. Nashawishika kwa kutoa wazo la umri wa Rais uwe kuanzia miaka 30 na kuendelea kwasababu zifuatazo;

1. Vijana ni wengi sana kuliko idadi kundi rika lolote Tanzania kwa umri tajwa.

2. Wazee kuanzia umri 45+ wapumzishwe wabaki kuwa washauri kwenye mambo yanayohitaji busara tu.

3. Uchama na Umaarufu hautakuwa maana; maana tutaangalia uwezo, ubora, namna unavyolifahamu taifa na mambo ya zingatio.

4. Umri ni kiashiria kizuri cha uwezo, juhudi, maarifa na uwezo wa kuishi kwa haki.

NB

Wazee mkalime na kulea wajukuu . Urais sio sehemu ya kupumzika au kujiegesha baaada ya kulitumikia Taifa.
5.wazee wa nchi hii wameshachanganya mafaili kichwani
 
Back
Top Bottom