KATIBA MPYA: Umri wa Rais uwe kuanzia miaka 30

Kama bado haujazidi 35 inafaa bado uwe chini ya uangalizi kwa kuendelea kufanya kazi za kutumwa na kuongozwa na wakubwa waliokomaa fikra. Urais, huo ndio kabisaa uwekwe mbali na watoto. Huo ni mtazamo wangu baada kukomaa.
 
Vijana wenyewe kina Mdude and Co
Ama Bashite
Ama yule wa Arusha
Mhh hapana
Nani kakuambia Urais ni kazi ngumu kiasi kwamba hao unaowataja hawawezi kuwa Rais?

Marais tuliobahatika kuwa nao wana nini cha ziada kuwazidi hao vijana ukitoa kigezo cha Umri ?
 
Ujinga ni kitu kibaya sana kama katiba za vyama vyenu tu hamziheshimu katiba ipi mnaitaka?

Swala siyo katiba bali kujitambua watz tuliowengi hatujitambui,hii nchi ni kubwa sana huwezi ukaingoza kwa katiba moja hadi ivunjwevunjwe
 
Well, naamini kwenye Uhuru wa mawazo na kujieleza, hiyo ya vijana out of taasisi ya vyama vya siasa nakubaliana nayo 100% Ila umri wa 30 hapana naangalia pia muda ambao kijana anakuwa amemaliza chuo na kufanya kazi kupata uzoefu.

Kwa TZ yetu wengi ndiounakuta kijana amehama nyumbani kwao au anajiandaa na mishe za kuoa na kujijenga kikazi na kijamii. Bado sana.

40 yrs ni sawa
 
Niliuliza, kwanini British Airways ina crew wazee, haitaki kuvutia wateja kama airline nyingine? Nikaambiwa, wale wanajua unahitaji nini ukiwa safarini.

Juu ya 41 kama katiba inavyosema ni sawa ingawa kwa uhalisia, 50 ni sahihi ingawa si mara zote umri unahusika; Le Mutuz, Kigwa, Profs n.k
 
Urais unahitaji uzoefu upi mbali na kuijua vyema jografia ya Tanzania?

Rais asiyeijua Tanzania ki - jiografia huyo hatufai. Na hii imetupa changamoto kubwa sana.
 
Nani kakuambia Urais ni kazi ngumu kiasi kwamba hao unaowataja hawawezi kuwa Rais?

Marais tuliobahatika kuwa nao wana nini cha ziada kuwazidi hao vijana ukitoa kigezo cha Umri ?
Kwa hio leo unataka kumlinganisha Mdude na Mh Rais yupi?.

argue wth my ancestors..am done wth u
 
Urais unahitaji uzoefu upi mbali na kuijua vyema jografia ya Tanzania?

Rais asiyeijua Tanzania ki - jiografia huyo hatufai. Na hii imetupa changamoto kubwa sana.
Ni dhahiri hujui hii Nchi wala Taasisi zake wala mambo yanavyokwenda...
Eti mbali na Geog....WTF
 
Urais unahitaji uzoefu upi mbali na kuijua vyema jografia ya Tanzania?

Rais asiyeijua Tanzania ki - jiografia huyo hatufai. Na hii imetupa changamoto kubwa sana.
Now upo kwa point yangu, kijana aliuemaliza chuo na hajapata kuzungukia nchi kikazi huwezi kusema anaijua TZ kijiografia.

Now you can relate na nilichosema mwanzoni mkuu.
 
Kwa hio leo unataka kumlinganisha Mdude na Mh Rais yupi?.

argue wth my ancestors..am done wth u
Kijana jitambue acha kufubaa akili utakosa maarifa.

Mazingira ndio yanachochea hasa kuwa na vijana ambao tunahisi wanamapungufu. Ila nakuhakikishia hakuna aliye muovu au mbaya isipokuwa tu mazingira ndio huamua.
 
Kijana jitambue acha kufubaa akili utakosa maarifa.

Mazingira ndio yanachochea hasa kuwa na vijana ambao tunahisi wanamapungufu. Ila nakuhakikishia hakuna aliye muovu au mbaya isipokuwa tu mazingira ndio huamua.
Sawa Kijana kesho utapewa uRais
 
Pointi IPI?
Tatizo
Now upo kwa point yangu, kijana aliuemaliza chuo na hajapata kuzungukia nchi kikazi huwezi kusema anaijua TZ kijiografia.

Now you can relate na nilichosema mwanzoni mkuu.
Point ipi Kijana?

Tatizo una sample vijana unaowawaza wewe binafsi kwa mtazamo wa taifa huko ni kujidanganya. Ukweli ni huu; wapo vijana smart sana tatizo mfumo huu mbovu tulio nao rafiki.
 
-Mishahara ianzie million 5 kwa kila cadre na isizidi 10M!

-Kila baada ya miaka mitatu watu waachie ofisi wakajiajiri wapishe wengine kwenye vitengo watafte mitaji!
 
-Mishahara ianzie million 5 kwa kila cadre na isizidi 10M!

-Kila baada ya miaka mitatu watu waachie ofisi wakajiajiri wapishe wengine kwenye vitengo watafte mitaji!
Hii sawa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…