Katiba (Mpya) ya Kenya, Itawaangusha sana!

Barbarosa

JF-Expert Member
Joined
Apr 16, 2015
Posts
22,584
Reaction score
27,817
Ingawaje watu wengi husifu sana Katiba ya Kenya, lakini mimi nina mawazo tofauti! Ninaamini hii Katiba itawarudisha Wakenya nyuma sana, ukiiangalia vizuri utaona ya kwamba ni Katiba nzuri lakini sio kwa nchi masikini na inayoendelea kama Kenya!

Kenya bado ina changamoto nyingi sana kama zilivyo nchi nyingi za Kiafrika. Kwa mfano nchi nyingi za Kiafrika wala huwezi hata kuziita Taifa (Nation), bado ni makundi mbalimbali ya watu yanayooishi kwenye nchi moja na kila kundi lina maslahi yake binafsi na wala sio ya nchi nzima!

Sasa ili uweze kujenga Taifa jambo ambalo ni muhimu katika ustawi wa nchi yoyote ile Duniani, unahitaji kuwa na rais au kiongozi aliye na madaraka makubwa, madaraka ambayo yatamuwezesha kuchukua maamuzi magumu lakini ya lazima na yasiyopingwa mahali popote kwa manufaa ya nchi yote, lakini hili sasa hivi Kenya haliwezekani tena.

Kwa mfano tangu Uchaguzi uliopita uliomuingiza Uhuru Kenyatta madarakani, ni kama bado nchi iko kwenye uchaguzi, Uhuru Kenyatta wala hapewi muda wa kupanga na kutekeleza sera zake, kila siku maandamano, hakuna uamuzi atakaochukua ambao hautapingwa kwa maandamano.

Kwa mfano sasa hivi nasikia kuna wabunge wanataka kumshitaki rais wa nchi, sasa atafanya kazi saa ngapi? Ni hivi majuzi tu ametoka kumalizia kesi ya ICC, hajakaa sawa sijui Sukari watu wanapinga, mara sijui waalimu na yote haya ni kwa sababu Katiba mpya inaruhusu!

Hivyo kwangu mimi hii Katiba ya Kenya itawasumbua sana huko mbeleni, kwani ni kosa kubwa sana kwa nchi changa kuvunja vunja madaraka ya rais/ kiongozi na ndio maana hata Wazungu walilijua hili, wakati wa Ukoloni Magavana walikuwa na madaraka makubwa sana na ndiyo waliojenga hizi nchi zetu!!
 
Aiseee! Nilidhani watu wa Sampuli yako wanaoendelea kufikiria juu ya inferiority ya Waafrika mmeisha, kumbe bado mpo??,,,, Hatuhitaji viongozi imara, tunahitaji taasisi imara...Taasisi zitakazoweza kusimamia katiba kwa utimilifu wake.. Sio taasisi legelege vunjakatiba kama ya ccm.. Pia jamii hubadilika kutokana na wakati, na kwa sababu maoni yaliyopelekea kutengeneza katiba hiyo ni Wananchi Wa Kenya, basi ni sahihi kabisa kwao kuwa na katiba hiyo.. Otherwise unataka kujenga hoja ya kuendelelea kutetea katiba pandikizwa ya ccm.
 


Tatizo unanukuu viongozi wa Kimarekani bila ya kuwaelewa vizuri! Hizo taasisi imara utazijenga vipi kama hauna Kiongozi Imara na mwenye madaraka makubwa? Unafikiri hizo taasisi unazosikia za Wazungu huko Ulaya zilijengwa na na viongozi wasio kuwa na Madaraka makubwa?

Isitoshe maisha ya binadamu yanafwata hatua na hauwezi kuruka baadhi ya hatua kwa kisingizio cha kwenda na wakati utakwama tu na ndicho Kenya walichokifanya na hili jambo litawagharimu sana siku za usoni,
sasa wanataka kumtoa Kenyata kwa sababu ya Katiba na huyo atakayeingia pia ataondolewa hivyo hivyo sasa kazi ya raisi ya kutekeleza sera itafanyika saa ngapi kama Uchaguzi haushi?
 

haya ni baadhi ya matokeo ya katiba mpya kupeleka pesa na mamlaka mashinani kwa wananchi kupitia serikali zao za kaunti!!!



BAADA YA MACHAKOS COUNTY SERIKALI ZA KAUTI mbali mbali ZINAJITAHIDI KUINUA SEKTA YA AFYA hATA KAMA BAADHI YA VIONGOZI KATIKA SERIKALI KUU WANAKUPIGA VITA UGATUZI!!!

MOMBASA COUNTY GOVT HOSPITAL








MSTAHIKI GOVANA MOMBASA BWANA ALI HASSAN JOHO



















machakos county



























kilifi county














meru county




AUTOMATED MILK DISPENSERS IN MURANG'A COUNTY.
The Murang'a County Creameries(MCC) has established an automated milk dispensing point in Murang'a Town.Residents now have access to quality and fresh milk at affordable prices.The initiative will be rolled out in other towns.Upon a load up with coins the machine dispenses milk that resonates with the amount topped in.This is one of the approaches that MCC is employing to boost its customer base and fetch more proceeds for the farmers.The CountyGovernment of Murang'a is committed towards supporting Cooperative movement in empowering farmers and other players in the micro enterprises.Have a blessed weekend.

PHOTO FILE (customers being served at the MCC automated milk dispensing point in Murang'a Town)


MCC milk dispensers!












 
AUTOMATED MILK DISPENSERS IN MURANG'A COUNTY.
The Murang'a County Creameries(MCC) has established an automated milk dispensing point in Murang'a Town.Residents now have access to quality and fresh milk at affordable prices.The initiative will be rolled out in other towns.Upon a load up with coins the machine dispenses milk that resonates with the amount topped in.This is one of the approaches that MCC is employing to boost its customer base and fetch more proceeds for the farmers.The CountyGovernment of Murang'a is committed towards supporting Cooperative movement in empowering farmers and other players in the micro enterprises.Have a blessed weekend.

PHOTO FILE (customers being served at the MCC automated milk dispensing point in Murang'a Town)


MCC milk dispensers!











AND IN OTHER NEWS MACHAKOS GOVERNOR ALETA MAJI KWA NYUMBA ZOTE KWA KAUNTI YAKE YA MACHAKOS VIJIJINI!!!


Water to households at Syonamu village and Primary School in Kawethei, Kangundo Sub-County is now a reality.
I visited a humble homestead in the village which already has tapped water and a functional shower. The shower fitted in a brick-walled bathroom has offered a change in lifestyle to the humble family. This is in line with my Maendeleo Chap Chap ideology which aims to transform the lives of Machakos County residents.
Leadership is about Walking the Talk and serving mankind.













Yesterday I toured Kimutwa, Kakuyuni and Kawethei to inspect on-going tarmacking of the markets and meet Wananchi. I am pleased with the work being done to make Machakos County dust-free.
We are on a mission to create an enabling environment for our small traders for them to compete with the big businesses.










Last edited by waltham; 22nd August 2015 at 00:08.​
 

Kwani unahitaji Katiba mpya ili uweze kujenga Hospitali?
Halafu isitoshe sijasema kwamba Katiba ya Kenya ni mbaya au haina manufaa yoyote kwa nchi ya Kenya, bali nilichosema ni kwamba ni Katiba nzuri sana lkn kwa nchi changa za Kiafrika ambazo bado hata hazijaweza kujenga Taifa itawasumbua sana!

Siku moja utakuja kuja shahidi yangu, ni mwiko kabisa kwenye nchi changa kama zetu zakiafrika kuondoa madaraka ya Raisi, hilo ni kosa kubwa sana nakumbuka Raisi Moi aliwaonya Wakenya sana kwenye hili lkn siku moja mtakuja kumuelewa!
 

HUWEZI UKAELEWA KWAni historia ya kenya hauna ndipo ata post yako haina ukweli!!!
mamlaka na rasmali kwa katiba nyingi afrika yapo katikati yaani centralized including tanzania!! ndipo katiba mpya kenya wananchi wakaomba raslimali na mamlaka yaletwe mashinani bila visingiti katikati. tukapata ngavana na raslimali zote na bunge katika jimbo la ugatuzi na mawaziri wa utekelezaji mashinani!! hapo awali nairobi ilifanya uamuzi kwa kiwamgo kikubwa kuhusu wananchi kwani rais na serkali kuu ilihifadhi hela na mamlake ya hizo hela!! kwa hivyo ukhitaji kujenga hospitali na barabara katiba awali na nyingi katiba africa zilivyo ni central govt.
kwa sasa ni tofauti ni wananchi wanatengeza budget inajadiliwa hapo hapo kwa bunge la kauti na inajengwa bila nairobi!!

OFFICIAL LAUNCH OF ROAD EQUIPMENTS BY THE GOVERNOR HON. ALI HASSAN JOHO TOGETHER WITH COUNTY EXECUTIVE TRANSPORT & INFRASTRUCTURE HON. TAUFIQ BALALA AND OTHER OFFICIALS.











kabla ukilitimba wa katiba ya awali na centralized resourse disbursement zimfikie watoto kama hawa ilikuwa kama ndoto kusubiri kwa mwaka na mikaka. angalia baada ya katiba mpya mabadiliko!!



mfano tu!!





















 

Wewe umecram tu maneno.
Ofisi ya Rais pia ni taasisi kiaina, au hilo hulijui?
 
Wewe umecram tu maneno.
Ofisi ya Rais pia ni taasisi kiaina, au hilo hulijui?

Nalijua hilo Msemakweli, ndio maana tunakuja. Kugundua kwamba Taasisi hiyo ya Rais ikiwa dhaifu, katiba haitatekelezeka maana yeye ndiye Top Executive, sasa kwa wenzetu Kenya tunaona kama wanakumbwa sana na matatizo lakini kwa upande wa pili wanapiga hatua kubwa sana kimaendeleo... Kwa upande wetu hata kama JK angekubali katiba ipite tusingeenda mbele kwa sababu Taasisi ya Urais itaendelea kuwa dhaifu chini ya ccm, wakishashiba wanasahau wananchi wao.. Poor Us
 
Nakubaliana na wewe. Katiba ya Kenya naikubali sana na imeleta maendeleo sana tu. I just thought you used that quote out of context.
 

katiba ya kenya ya awali kama hiyo ya Tz rais alikuwa mungu mdogo all powerful, and that was part of the problem. disburse powers to different focal points and institutions and put checks and balances and everything will be ok. na sisemi president ni powerless shinda africa rais ni mungu mdogo. ukiwa rais mfuata sheria nobody will bother you kama huyu wetu wa kenya hafuati katiba. anakataa kutekeleza uamuzi wa mahakama nayo katiba inasema rais akikaidi aweze kufunguliwa mjadala wa impeachment bungeni. hat a hivyo mlengo wa rais ni wengi bungeni hatoendi nyumbani lakini tutakuwa tumemkumbusha manjukumu kwani ana majority mps mbunge au kama vile wakenya wanawaida Mpigs!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…