Katiba Mpya

Katiba Mpya

Le Manuel

Member
Joined
Jan 11, 2014
Posts
18
Reaction score
2
Kwa Mtazamo Wangu, Naona Ni Bora Tukawa Na Serikali Moja; Yaani Zanzibar Iwe Mkoa. Ikishindikana Kuwa Na Serikali Moja, Basi Hatuwezi Kukimbia Serikali Tatu, Yaani Serikali Ya Tanganyika, Zanzibar Na Ile Ya Jamuhuri Ya Muungano.

Sijui Wenzangu Mna Maoni Gani Juu Ya Swala Hili.
 
Back
Top Bottom