decision ya mahakama hiyo iko binding on us,kwa kuwa tulijiunga wenywe na hiyo Mahakama,na hata kama,mtu au taasisi haiwezi kupeleka madai kwenye hiyo Mahakama hadi i-exhaust all means of justice katika nchi yako na ikashindikana ndio utapata kibali cha kupeleka madai yako huko,ila once the decision is made,it is binding,foreign awards.ndio maana kama unavyoona Mtikila alivyolalamika abt mgombea binafsi,sasa na hii katiba mpya lazima kuwe na changes.As long as tumeratify mikataba katika establishment ya hiyo Mahakama,tumekubaliana na Articles zake pia..hii ni kwa maoni yangu tu