RWEYONGEZA MUTTA
Member
- Oct 12, 2012
- 52
- 10
Habari wanajf!! Mimi nataka kufahamu kwamba kwakuwa katiba yetu ya jamhuri ya muungano wa tanzania ni sheria mama na ni zao la wananchi wa tanzania, na kwamba sheria za kimataifa ili zitambulikd nchini lazima zifate taratibu zilizowekwa na katiba hii!! Lakini je maamuzi ya mahakama za kimataifa yana nafasi gani juu ya katiba hii!!? Mfano maamuzi ya mahakama ya haki za binadamu afrika kwa upande wa mtikila na law society of tanganyika!!
I beg to submit!!
I beg to submit!!