Katiba ni mhimu kwa vyama vyote

Katiba ni mhimu kwa vyama vyote

Hell is real

JF-Expert Member
Joined
Aug 14, 2021
Posts
204
Reaction score
364
Habari wakuu, leo nimewaza na kufikiria sana,tunapodai katiba mpya watu wanasema ni upinzani ndo wanashida na katiba, lakini ukweli upo wazi hata CCM wenyewe katiba hii itawaumiza sana ,rais magufuli pamoja na wapambe wake,( polepole, kabudi, kakurwa, na wengineo) walisema sio kipaombele chao, madhara yake imemzaliSha rais mwanamke Naye anataka kutumia udhaifu wa katiba hii kuendelea kutawala, na atakuwa rais atakayetawala kwa mda mrefu!! Hivyi Bashiru anajisikiaje?????
 
Habari wakuu, leo nimewaza na kufikiria sana,tunapodai katiba mpya watu wanasema ni upinzani ndo wanashida na katiba, lakini ukweli upo wazi hata CCM wenyewe katiba hii itawaumiza sana ,rais magufuli pamoja na wapambe wake,( polepole, kabudi, kakurwa, na wengineo) walisema sio kipaombele chao, madhara yake imemzaliSha rais mwanamke Naye anataka kutumia udhaifu wa katiba hii kuendelea kutawala, na atakuwa rais atakayetawala kwa mda mrefu!! Hivyi Bashiru anajisikiaje?????
Maana halisi ya malipo hapa hapa duniani.😆
 
Ni Jambo letu wananchi wote kudai Katiba Bora.
 
Katiba mbaya ni ukiwa nje ya system...

Ila ukishakua ndani ya system unaichekelea...
 
KATIBA ndiyo msahafu na biblia ya nchi,ndiyo muungozo na mkataba Kati ya watawala na watawaliwa hivyo mkataba huu unapoingia Shaka lazima pande mbili zikae na kurekebisha ili kuendeleza mema yaliyoachwa.ukiona upande mmoja unakataa mkataba wakati upande mwingine unakubali kwa nguvu na hoja za kipumbavu basi huko mbeleni mkataba huu naimani utaandikwa watu wakiwa na bandage,plasta na ngeo vichwani na mwilini huku damu zikitiririka mwilini,Ni ngumu Sana kukubali hayo ila suluhisho kamili litapatikana.Tupo kwenye kesi ya kihuni ya MBOWE tulichojiandaa Ni kuwa mbowe atahukumiwa not less than 20 years,baada ya hapo sioni Nini kitafuata zaidi ya marumbano makali.KATIBA MPYA ITAANDIKWA HATA KAMA NI SAA TISA USIKU TUTAAMKA KUANDIKA.
 
Back
Top Bottom