Katiba ni Wananchi si ya serikali- James Mbatia

Katiba ni Wananchi si ya serikali- James Mbatia

Jitokeze kujiandikisha ewe mtanzania mwenzangu na mwisho kupiga kura ya ndio wakati utakapowadia ili tupate katiba bora kwa mustakabali wa taifa letu,jiunge na wapenda amani na mshikamano waliopo sehemu mbalimbali hapa nchini kwa kupiga kura ya ndio wakati ukifika,tanzania kwanza
 
Katiba Inayopendekezwa Itatutoa kwenye ufisadi na kutuwezesha kuwawajibisha waliokuwa wakitumia madaraka vibaya.
 
Back
Top Bottom