Siku zote nimekuwa nikijiuliza kwanini watu wanaamua tu kupinga katibapendekezwa!kumbe wengine ni vibaraka tu wala hata hiyo katiba yenyewe hawajaisoma!inakuwa Kama shabiki wa timu ya mpira ambayo hata majina ya wachezaj Huyajui!huu ni ubabaishaji!KURA YA NDIYO KWA KATIBA PENDEKEZWA!!!!!
Siku zote nimekuwa nikijiuliza kwanini watu wanaamua tu kupinga katibapendekezwa!kumbe wengine ni vibaraka tu wala hata hiyo katiba yenyewe hawajaisoma!inakuwa Kama shabiki wa timu ya mpira ambayo hata majina ya wachezaj Huyajui!huu ni ubabaishaji!KURA YA NDIYO KWA KATIBA PENDEKEZWA!!!!!
HAHAHAHAH KWELI KAKA TENA WAKO WENGI KUNA AKINA HAWA HAPA, PRESIDENT ELECT, MWAKABOKO, TYTA a.k.a, TETTY, MTK, MWALLA, MMANU, na wengine wengi sana HAWA WOTE WAMETUMWA KUHARIBU MCHAKATO WA KATIBA INAYOPENDEKEZWA
HAHAHAHAH KWELI KAKA TENA WAKO WENGI KUNA AKINA HAWA HAPA, PRESIDENT ELECT, MWAKABOKO, TYTA a.k.a, TETTY, MTK, MWALLA, MMANU, na wengine wengi sana HAWA WOTE WAMETUMWA KUHARIBU MCHAKATO WA KATIBA INAYOPENDEKEZWA