Katiba pendekezwa

Katiba pendekezwa

MSALAGAMBO

Member
Joined
May 6, 2014
Posts
12
Reaction score
8
Amon Mpanju, mbona unajidhalilisha kiasi hicho! We umekuwa na weledi kushinda wajumbe wa tume ya Jaji Waryoba. Kwa taarifa yako hata sisi watu wenye ulemavu tunakushangaa na kukusitikia. Umelishwa maharage gani?
 
Amon Mpanju, mbona unajidhalilisha kiasi hicho! We umekuwa na weledi kushinda wajumbe wa tume ya Jaji Waryoba. Kwa taarifa yako hata sisi watu wenye ulemavu tunakushangaa na kukusitikia. Umelishwa maharage gani?
Wait a minute tutambuane kwanza, msalagambo kwani wewe ni mlemavu wa kiungo kipi?!
 
Huyu Amon anaendeshwa kwa remote na ndio maana haishi kuonekana ktk korido za kinondoni bomani
 
Amon Mpanju, mbona unajidhalilisha kiasi hicho! We umekuwa na weledi kushinda wajumbe wa tume ya Jaji Waryoba. Kwa taarifa yako hata sisi watu wenye ulemavu tunakushangaa na kukusitikia. Umelishwa maharage gani?
Kala maharage mpaka nasikia imemwadhiri macho.
 
Amon Mpanju, mbona unajidhalilisha kiasi hicho! We umekuwa na weledi kushinda wajumbe wa tume ya Jaji Waryoba. Kwa taarifa yako hata sisi watu wenye ulemavu tunakushangaa na kukusitikia. Umelishwa maharage gani?

Usipotoshe!!weka namba yako ya simu hapa ndo tutajua kama wewe ni mlemavu au la au ni mchumia tumbo tu,inaelekea nyie ndo matapeli mnaowatumia walemavu kujipatia fedha na ndo maana hamuoni shida kuvaa maumbo yasiyo yenu teh teh teh!!
 
Huyu Amon anaendeshwa kwa remote na ndio maana haishi kuonekana ktk korido za kinondoni bomani

Weka picha yake japo moja tu akiwa Kinondoni kwenye korido si umesema haishi kuonekana pale hata leo umemuona tupia hapa tuone!
 
Utapata picha,ingawa sikuwa na nia ya kufika huko

Nataja justification ili nione kweli kama haishi kuonekana kwenye korido za Kinondoni ina maana hata leo umemuona pale ili nithibitishe pasipo shaka kuhusu jambo hilo,Afu mtoa mada afanye marekebisho ni KATIBA INAYOPENDEKEZWA 2014
 
Nataja justification ili nione kweli kama haishi kuonekana kwenye korido za Kinondoni ina maana hata leo umemuona pale ili nithibitishe pasipo shaka kuhusu jambo hilo,Afu mtoa mada afanye marekebisho ni KATIBA INAYOPENDEKEZWA 2014

Kwa kuwa umenitaka nitupie ka picha namgojea aje tu hapa boma
 
Kwa kuwa umenitaka nitupie ka picha namgojea aje tu hapa boma
Aje kwani kakwambia anakuja ili umpige hiyo picha? Au Ukawa ndo wamekuagiza ufanye hivyo? Kwanini ugeuzwe kuwa jini wa kutumwatumwa?
 
Amon Mpanju, mbona unajidhalilisha kiasi hicho! We umekuwa na weledi kushinda wajumbe wa tume ya Jaji Waryoba. Kwa taarifa yako hata sisi watu wenye ulemavu tunakushangaa na kukusitikia. Umelishwa maharage gani?
Wewe mlemavu gani wewe acha uongo yani hizo ndo style mlizopewa na Ukawa kujipretend kuwa we ni mlemavu, hahahahah endelea kupiga jero jero lkn mwisho wa siku katiba hii haiepukiki ni ndiyoooo maana imejali oila mtu hata wewe unaejifsnya mlemavu tena hujafa hujaumbika kama unahitaji hiko kilema basi utakipata tuu.
 
Aje kwani kakwambia anakuja ili umpige hiyo picha? Au Ukawa ndo wamekuagiza ufanye hivyo? Kwanini ugeuzwe kuwa jini wa kutumwatumwa?

Wewe ndio umeanza viroba wakati wenzio wamestaafu? Pole sana
 
Naona umeamua kulipa posho ya lumumba kwa kishindo ili kesho siku iingie
Wewe umekamia ndani humu tokea alfajiri kisa jero jero unazopewa na Ukawa kwa kupinga mambo mazuri, hahahah endelea maana mimi nimeingia mda si mrefu lkn nimekufstilia unaonekana uko humu tokea asubuhi mnapishana tu we na wachumia matumbo wenzio
 
Jero jero za Ukawa zinawapa kiburi kweli maana mnatumika kama mifagio ya vyoo vya kilabuni kwa walevi

Wewe mkuu naona umeingia kwa speed ya jet kwa matusi,nani kakudanganya kuwa ukitukana matusi jf ndio chama kinapanda chat?
 
Wewe ndio umeanza viroba wakati wenzio wamestaafu? Pole sana
Njaa itakuua wewe yani hata hujionei huruma, badala ya kusoma wewe unakomaa na kazi ya kipuuzi ulopewa na Ukawa, utalishwa mavi na akina mbowe wewe shauri yako
 
Wewe mkuu naona umeingia kwa speed ya jet kwa matusi,nani kakudanganya kuwa ukitukana matusi jf ndio chama kinapanda chat?
Ebu angalia hata kusoma uoikimbia umande tusi liko wapi hapo? Au unaoota? Tatizo umekodolea mimachomhiyo simu tokea asubuhi hata kupumzika hutski kisa kazi ya Ukawa
 
Back
Top Bottom