Katiba pendekezwa

Naona umetoka nduki ama utakuwa unamwachia mwenzio lindo. Maana mmekuwa wazee wa lindo humu jf, mnapishana kama daladala hahahaha hapana chezea njaaaaaaaa wewe

Mkuu njaa mbona unaiongele sana,hapa njaa ipo sijui kwako maana keki ya taifa mgawanyo haueleweki
 

Tabia ya matusi ni malezi mkuu,nawalaumu sana hao waliokupa malezi ya kopo
 

Muda ukifika utawajua tu kiongozi,huna haja ya kuwa mbogo.muda bado
 

Muda ukifika utawajua tu mkuu haina haja ya kuwa mbogo,tulia kwani ustaarabu hauuzwi dukani.
 
Sitojali uko zamu ya kuingia humu jf mchana kiasi unahitaji mwenzio umwachie lindo la usiku mimi nakuchana live makavu nje nje mpaka utie adabu na uchelewe kutoka lindo

Post count: 175
Others: jf member.
Ndio maana,kwani nilikuwa najiuliza mbona jamvi limevamiwa kumbe ni kweli.sikulaumu tena kwani upo kutekeleza majukumu yako.
 

Aisee wewe kwa matusi,pokea salute mzee
 

Eti leo nakutwanga point,point zipi? Za kuwatukana waliokuzidi umri,madaraka/ viongozi wako? Pole sana
 
Naona imekuumiza sana pole kwa hilo piga hesabu tangia asubuhi hadi sasani mb ngapi zimetumika? Pole sana kiongozi
Ndugu mimi nakuheshimu sana kwenye forum lakini cha kusikitisha unaonekana kupoteza mwelekeo. Unajadili Katiba Inayopendekezwa au mb na gb au tb. Be focused then we can continue with the discussion. I hpoe you have understood!
 
Amon Mpanju, mbona unajidhalilisha kiasi hicho! We umekuwa na weledi kushinda wajumbe wa tume ya Jaji Waryoba. Kwa taarifa yako hata sisi watu wenye ulemavu tunakushangaa na kukusitikia. Umelishwa maharage gani?
Mpanju kajidhalilisha kwa kitu gani. Au wewe uelewa wako mdogo umeshindwa kuelewa nondo anazorusha. Hebu fuatilia mambo yake au mijadala yake utagundua kuwa anatoa pointi za maana sana. Au una lako jambo!:msela:
 
Ndugu mimi nakuheshimu sana kwenye forum lakini cha kusikitisha unaonekana kupoteza mwelekeo. Unajadili Katiba Inayopendekezwa au mb na gb au tb. Be focused then we can continue with the discussion. I hpoe you have understood!
Naona mzee wa lindo umeingia kazini kusaka jero jero kama jana hahahaha njaa itakuua mwaka huu wewe dekio la chooni
 
Eti leo nakutwanga point,point zipi? Za kuwatukana waliokuzidi umri,madaraka/ viongozi wako? Pole sana
Mpuuzi wewe kwani madarak kitu gani, hao akina Mbowe makengeza wanakudsnganya mengi sana, na utatumikasana kama vocha vile
 
Post count: 175
Others: jf member.
Ndio maana,kwani nilikuwa najiuliza mbona jamvi limevamiwa kumbe ni kweli.sikulaumu tena kwani upo kutekeleza majukumu yako.
Mimi na wewe aliyepo kikazi zaidi nani kama sio wewe tena uko lindo la jioni na asubuhi, unaingia kwa zamu kisa jero jero za akina Mbowe makengeza hahahaha njaa hiyo utakula mavi we kijana
 
Muda ukifika utawajua tu mkuu haina haja ya kuwa mbogo,tulia kwani ustaarabu hauuzwi dukani.
Muda ufike marw ngapi hao maboss wako njaa zitawaua mwaka huu, ndoa yao imeshaingia shubiri, tokea miaka ya 90 hadi leo wanaforce king, pale sio chooni kama huko mlikozoea nyie wachumia matumbo wa Ukawa, pale ni mahala patakatifu mtaishia kupaona kwenye video tuuuu hahahaha
 
Mkuu njaa mbona unaiongele sana,hapa njaa ipo sijui kwako maana keki ya taifa mgawanyo haueleweki
Lazima niiongelee maana inakuhusu kwasabu uko lindo la asubuhi na jioni, hivyo unaonyesha jinsi gani unavyohangaika kujibu hoja kisa jero jero za akina Mbowe makengeza na Slaa mapenzi.
 
Tabia ya matusi ni malezi mkuu,nawalaumu sana hao waliokupa malezi ya kopo
Wewe sifuri tuu huna jipya sema njaa ndo inakusumbua humu ndo maana hukauki kila mda ilimradi upate jero jero na mb8 za ukawa
 
Katiba pandikizi iliundwa na waimba mipasho
Hiyo naona ni Katiba ya UKAWA lakini ya Tanzania inaitwa Katiba Inayopendekezwa. Halafu hiyo ya kwenu iliyopitishwa na watu wa mipasho inawezekana ni Jahazi Modern Taarab au Mzee Yusuph sio Katiba inazungumziwa kwenye forum hii. Naona uanzishe ukurusa uuite katiba ya mipasho na hapa utoke kabisaaa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…