Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 122,494
- 96,074
Naona umetoka nduki ama utakuwa unamwachia mwenzio lindo. Maana mmekuwa wazee wa lindo humu jf, mnapishana kama daladala hahahaha hapana chezea njaaaaaaaa wewe
Mkuu njaa mbona unaiongele sana,hapa njaa ipo sijui kwako maana keki ya taifa mgawanyo haueleweki