Katiba pendekezwa

Katiba pendekezwa

Amon Mpanju, mbona unajidhalilisha kiasi hicho! We umekuwa na weledi kushinda wajumbe wa tume ya Jaji Waryoba. Kwa taarifa yako hata sisi watu wenye ulemavu tunakushangaa na kukusitikia. Umelishwa maharage gani?

Post yako nadhani inafanana na uwezo wako wa kufikiri....inaelekea humjui Amon Mpanju vizuri na hujui ana nafasi Gani kwa walemavu nchini....usitake kuchonganisha hili kundi na viongozi wake.....watu wenye ulemavu wamefanya jitihada sana ndani ya bunge maalum la katiba kuhakikisha wanatambulika rasmi na kupinga rasmi unyanyapaaji,,,,,Mpanju amekuwa akialikwa kwenye makongamano mengi sana yanayoandaliwa na WAtu wenye. Ulemavu na washirika wake.....tumemuona Morogoro, Dar.....na sehemu nyingine nyingi tuu.....na amekuwa akipata support kubwa sana kutoka kwa watu wenye ulemavu.......Naingiwa na wasiwai wewe uliyepost hii kitu ni mmoja ya watu wenye kuua albino....hivyo unaona utabanwa hence unataka kushawishi watu kwa ujinga na akili ndogo zilizo kichwani kwako bila kutambua unapata dhambi....WE NI SADIST unayependa kuona watu wenye ulemavu wanaendelea kuteseka kwa maslah yako binafsi...Nampongeza MWENYEKITI WA SHIVYAWATA Bw. AMON MPANJU kwa jitihada za kupigania haki za walemavu ndani na nje ya bunge maalum la katiba.........
 
Huyu Amon anaendeshwa kwa remote na ndio maana haishi kuonekana ktk korido za kinondoni bomani

Inashangaza sana kumbe watanzania kuna baadhi ya maeneo hatutakiwi kuweppo....daa hii kali............ukiwepo tu unahusishwa.....acha ufala wewe
 
nadhani huyu kipofu mchumia tumbo utakuwa ni wewe
Hujafa hujaumbika wewe deki la Ukawa, hunaga akili wewe nahc una matatizo ya kiakili ndo maana hoja zako zote ulizowahi kuweka tangu uuanze humu jf ni upuuzi mtupu, hujui kuweka hoja, umejawa matuc, na unatumika kama vocha wewe.
 
nadhani huyu kipofu mchumia tumbo utakuwa ni wewe

Mwalla, ukipofu si dhambi, mawazo yako ndiyo dhambi ambayo unaweza kujichumia kwa kudharau wenye ulemavu. Hawakupenda kuwa hivyo! imetokea kwao kama binadamu hali hiyo inaweza kumpata mtu yeyote. Hivyo Kazi ya Mungu haina makosa. Katiba Inayopendekezwa imewajali na naamini itaendelea kuwapa na kusimamia haki zao na makundi mengine mbalimbali nchini.
 
Mwalla, ukipofu si dhambi, mawazo yako ndiyo dhambi ambayo unaweza kujichumia kwa kudharau wenye ulemavu. Hawakupenda kuwa hivyo! imetokea kwao kama binadamu hali hiyo inaweza kumpata mtu yeyote. Hivyo Kaziya Mungu haina makosa. Katiba Inayopendekezwa imewajali na naamini itaendelea kuwapa na kusimamia haki za malkundi mbalimbali nchini.

soma vizuri msg yangu wapi nimesema upofu ni dhambi
pamoja na yote uctumie upofu wako kuwa kibaraka. unatumika tu
 
soma vizuri msg yangu wapi nimesema upofu ni dhambi


Una maana gani unaposema "nadhani huyu kipofu mchumia tumbo utakuwa ni wewe" hiyo ni dhana hasi, ongozwa na dhamiri iliyo hai na ung'amue mambo kwa busara.
 
Hujafa hujaumbika wewe deki la Ukawa, hunaga akili wewe nahc una matatizo ya kiakili ndo maana hoja zako zote ulizowahi kuweka tangu uuanze humu jf ni upuuzi mtupu, hujui kuweka hoja, umejawa matuc, na unatumika kama vocha wewe.

Mwalla, ukipofu si dhambi, mawazo yako ndiyo dhambi ambayo unaweza kujichumia kwa kudharau wenye ulemavu. Hawakupenda kuwa hivyo! imetokea kwao kama binadamu hali hiyo inaweza kumpata mtu yeyote. Hivyo Kazi ya Mungu haina makosa. Katiba Inayopendekezwa imewajali na naamini itaendelea kuwapa na kusimamia haki zao na makundi mengine mbalimbali nchini.
utabadili sana ID lkn wewe ni ZUMBUKUKU ZOMBI MTUMISHI WA LUMUMBA TEAM na hutamdanganya mwananchi yoyote kwa UZOMBI wako na fisadi wenu MAKENGEZA
 
utabadili sana ID lkn wewe ni ZUMBUKUKU ZOMBI MTUMISHI WA LUMUMBA TEAM na hutamdanganya mwananchi yoyote kwa UZOMBI wako na fisadi wenu MAKENGEZA

Dhamiri hai siku zote inasema ukweli daima. Ongozwa na dhamiri iliyonjema na ung'amue mambo kwa wema na weledi ili uweze kusimamia ukweli. Ukiona huna hoja unaanza kusema ID. Id ni nini? cha msingi hapa ni hoja. Haya unaposema wachangiaji ni watumishi wa Lumumba, wewe ni mtumishi wa nani na wa wapi? tuambie!
 
Huyu Amon ni kupuuzia alivyo mpuuzi
 
Huyu Amon ni kupuuzia alivyo mpuuzi

Siyo sawa Emma, usimpuuze mtu, mheshimu ili nawe uheshimiwe. Ndiyo maana Tanzania ni nchi inayoheshimu na kuzingatia misingi ya utu na udugu, uhuru, kujitegemea, haki, usawa, amani na utulivu, umoja na mshikamano katika nyanja zote za maisha yetu ya kila siku.
 
Dhamiri hai siku zote inasema ukweli daima. Ongozwa na dhamiri iliyonjema na ung'amue mambo kwa wema na weledi ili uweze kusimamia ukweli. Ukiona huna hoja unaanza kusema ID. Id ni nini? cha msingi hapa ni hoja. Haya unaposema wachangiaji ni watumishi wa Lumumba, wewe ni mtumishi wa nani na wa wapi? tuambie!

TEAM LUMUMBA ON DUTY Buku7 inatesa:A S-rap:
 
Siyo sawa Emma, usimpuuze mtu, mheshimu ili nawe uheshimiwe. Ndiyo maana Tanzania ni nchi inayoheshimu na kuzingatia misingi ya utu na udugu, uhuru, kujitegemea, haki, usawa, amani na utulivu, umoja na mshikamano katika nyanja zote za maisha yetu ya kila siku.

Siku zote unamheshimu mwenye heshima pekee yako.
 
Post yako nadhani inafanana na uwezo wako wa kufikiri....inaelekea humjui Amon Mpanju vizuri na hujui ana nafasi Gani kwa walemavu nchini....usitake kuchonganisha hili kundi na viongozi wake.....watu wenye ulemavu wamefanya jitihada sana ndani ya bunge maalum la katiba kuhakikisha wanatambulika rasmi na kupinga rasmi unyanyapaaji,,,,,Mpanju amekuwa akialikwa kwenye makongamano mengi sana yanayoandaliwa na WAtu wenye. Ulemavu na washirika wake.....tumemuona Morogoro, Dar.....na sehemu nyingine nyingi tuu.....na amekuwa akipata support kubwa sana kutoka kwa watu wenye ulemavu.......Naingiwa na wasiwai wewe uliyepost hii kitu ni mmoja ya watu wenye kuua albino....hivyo unaona utabanwa hence unataka kushawishi watu kwa ujinga na akili ndogo zilizo kichwani kwako bila kutambua unapata dhambi....WE NI SADIST unayependa kuona watu wenye ulemavu wanaendelea kuteseka kwa maslah yako binafsi...Nampongeza MWENYEKITI WA SHIVYAWATA Bw. AMON MPANJU kwa jitihada za kupigania haki za walemavu ndani na nje ya bunge maalum la katiba.........

wasakatonge
 
Siku zote unamheshimu mwenye heshima pekee yako.

Hayo ndiyo mawazo mgando. Fikri nje ya box wewe! ukipewa neno tumia akili yako kufikiri na kupambanua mambo. Usomi wako kama umesoma unautumiaje wewe?
 
TEAM LUMUMBA ON DUTY Buku7 inatesa:A S-rap:

Hujajibu swali langu wewe ni timu ya nani na ni ya wapi? Naona TEAM LUMUMBA ON DUTY unaipenda timu yako ndiyo maana unaisisitiza sana. Umdhaniye ndiye kumbe siye.
 
Back
Top Bottom