Zanzibar iliungana na nchi gani vile? Iko wapi siku hizi?
Kwa hiyo kufa kwa Tanganyika sio dhuluma, ila kufa kwa Zenj ni dhuluma? Na kuvunja Zenj nina maana mikoa mitano ya Zenj iwe assimilated kwenye Serikali moja. Kama utaita majimbo au miko kwangu mi naona ni semantics, sio muhimu!
Rwanda na Burundi hawajaomba kuungana. Wao wanataka kushirikiana katika shirikisho la Afrika mashariki. Tanganyika na Zanzibar ziliungana, lakini tulipokosea ni kutozungumzia mizani ya equality. Haiwezekani nchi yenye watu 2.5 millioni ikawa na mizani sawa na watu 41 millioni. Niliwahi kusema kwingineko kuwa California na Rhode Island hawana nguvu sawa katika mwungano wa United States of America. Ni hilo tu. Zanzibar inaweza kuwa na sovereignty yake lakini isilingane na ya Tanganyika.
Rwanda na Burundi hawajaomba kuungana. Wao wanataka kushirikiana katika shirikisho la Afrika mashariki. Tanganyika na Zanzibar ziliungana, lakini tulipokosea ni kutozungumzia mizani ya equality. Haiwezekani nchi yenye watu 2.5 millioni ikawa na mizani sawa na watu 41 millioni. Niliwahi kusema kwingineko kuwa California na Rhode Island hawana nguvu sawa katika mwungano wa United States of America. Ni hilo tu. Zanzibar inaweza kuwa na sovereignty yake lakini isilingane na ya Tanganyika.
Mkuu, nilivyosikia mimi ni kwamba Karume aliutaka mwungano zaidi ya Nyerere. Aliogopa kupinduliwa .Mkuu,
Zanzibar iliomba kuungana na Tanganyika?
Baada ya kupitia ushahidi wa kihistoria- Kweli tunaweza kusema kuwa Zanzibar waliomba kuungana na Tanganyika?
Au ni Mwalimu ndiye aliye-initiate muungano? na kwa sababu gani? Hata ukipitia uendelezaji/uimarishaji wa muungano,mlolongo wa matukio wakati wa kipindi chote hiki cha Muungano unafikia hitimisho kuwa Zanzibar waliomba Kujiunga na Tanganyika? na wanataka nchi moja na serikali moja?
Mkuu,Nonda,
..mbona mlolongo wa matukio unaonyesha kwamba Karume & co., walimtegemea Mwalimu na Tanganyika kuliko kinyume chake?
..kwanza kabla ya Mapinduzi, Karumeb na Abdulrahman Babu walikuwa Tanganyika.
..pia tumesoma kuhusu ushiriki wa Tanganyika ktk kumchomoa John Okello kutoka ktk utawala wa Zanzibar.
..je, ni nani aliwaomba wa-Tanganyika wasaidie ktk kumteka nyara Okello na kumrudisha Uganda?
..kuna kikosi cha Polisi toka Tanganyika kilichokwenda Zanzibar kusaidia ulinzi baada ya Mapinduzi.
..kuna kila sababu za kuamini kwamba bila Tanganyika ku-side na SMZ basi Sultani Mwarabu angeweza kurudi Zanzibar.
..kwa mtizamo wangu, bila Muungano, Zanzibar ingeweza kuwa unstable and prone to coups d'etat like Comoro islands.
Nonda said:Baada ya juhudi zote ambazo Karume na Serikali yake ya Kuitaka Zanzibar kama nchi, kuomba msaada huku na huko kufanikisha kumpindua « sultani » ili wajitawale katika nchi yao, wakubali kirahisi kuitowa Nchi yao kwa Nyerere na iwe mkoa au wilaya ?
Kwa hiyo kufa kwa Tanganyika sio dhuluma, ila kufa kwa Zenj ni dhuluma? Na kuvunja Zenj nina maana mikoa mitano ya Zenj iwe assimilated kwenye Serikali moja. Kama utaita majimbo au miko kwangu mi naona ni semantics, sio muhimu!
Nonda,
..hofu ya Ukomunisti doesnt make much sense to me.
..lakini si Nyerere alikuja kuwa Mjamaa/Mkomunisti na tukawa na uhusiano wa karibu sana na Wachina?
..tena Nyerere akawatimua West Germany waliokuwa wakitushinikiza tuache mahusiano na East Germany. tulifungua ubalozi na East Germany kwasababu wao walikuwa kati ya nchi za mwanzo kabisa kutambua serikali ya Mapinduzi.
..halafu si Karume aliyenukuliwa akisema "Ujamaa mwisho Chumbe...."?!!
..tuchukulie kwamba ni kweli Nyerere alimtisha Karume kwamba usalama wake uko mashakani.
..sasa kama suala hilo lilikuwa la uongo basi Karume angeweza kuweka mguu chini na kukataa vitisho hivyo.
..lakini tunaona pia kwamba Tanganyika ilipeleka kikosi cha Polisi kusaidia Zanzibar, kwa msingi huo inawezekana kabisa kwamba hali ilikuwa tete huko visiwani.
..pia hivi kwa akili za kawaida tunaweza kubisha kwamba kikosi kilichompindua Sultani mwarabu kilikuwa na uwezo wa kuhimili mashambulizi ya mamluki kama Bob Denard aliyepindua Comoro, au wale walikodishwa na Holden Roberto wa Angola?
..hapa umenena!!
..wanasiasa wa Zenj wanapenda muungano pale unapowafaidisha kimadaraka na kiuchumi.
..kuna waandishi wanadai Mzee Jumbe alianza kupinga Muungano baada ya kuona Nyerere amemtupa mkono ktk harakati za kutafuta mrithi wa nafasi ya Raisi wa Muungano.
..Maalim Seif naye baada ya kupata madaraka sasa msimamo wake kupinga muungano umefifia.
NB:
..kuna kipindi CUF walikuwa wakiita CCM "Catholic Church Movement." Maalim alikuwa haishi kuitukuza himaya ya Sultani iliyoshamiri kwa biashara ya utumwa. yaani ilikuwa kana kwamba analilia zama zile za Wabara kukamatwa utumwa zirudi tena.
Hakuna Tanganyika! That is the puzzle of this Muungano!