Bongolander
JF-Expert Member
- Jul 10, 2007
- 5,067
- 2,210
Hao wazee sidhani hata kama wanajua nini maana ya katiba
Mkuu huu wimbo wa katiba unaimbwa tu, ukweli ni kwamba ni sehemu ndogo sana ya watanzania wanaoijua katiba. Tanzania hatuko kama Kenya, kenya hata lay men na women wanajua maana ya katiba na wajua vipengele vyake na wanajua inawaathiri vipi. Hapa kwetu Tanzania hata baadhi ya wabunge haaifahamu katiba zaidi ya kuiona.
Ni afadhari tuwaache wenye uelewa wa katiba wafanye kazi hii kwa niaba yetu, tukianza kuwasikiliza wazee wa CCM ambao hata katiba ya chama hawaijui vizuri, ni makosa makubwa.