Bongolander
JF-Expert Member
- Jul 10, 2007
- 5,067
- 2,210
Hao wazee sidhani hata kama wanajua nini maana ya katiba
Njaa tu inawasumbua Wazee hawa wa CCM, hekima zao wameweka pembeni kabisa na kutumiwa na mafisadi kila wanapoona umuhimu wa kuwatumia Wazee hawa.
Hawa wazee wanatumika sana hata wenyewe sijui kama wanajua, lakini hii yote ni umasikini. Ukiwa masikini utajikomba tuu ili angalau upate kitu. Hivi wanajua kiasi gani wanaibiwa? Mbona hawasikiki kwenye dowans na mengine? Aah sometimes mimi hata sitaki kuwasikia.