Katiba ya Chama chetu haifai na hatuna legitimacy kudai katiba mpya ya JMT

Katiba ya Chama chetu haifai na hatuna legitimacy kudai katiba mpya ya JMT

Fikiria kuwa na katiba ambayo inampa madaraka mwenyekiti kufanya chama kama mali yake.

Anafanya madudu hata kiasi cha kupiga madili na kumpa Lowassa gap la kugombea.

Anakaa madarakani mpaka anapoona hana ushawishi ndio anaamua kug'oka.

Hatuna legitimacy kudai katiba mpya.
Kweli,kuna ulazima wa kufanya marekebisho ya ndani kwanza ili ikitokea imepatikana nafas ya kuongoza na nje yasijeyakajirudia ya sisi em
 
Fikiria kuwa na katiba ambayo inampa madaraka mwenyekiti kufanya chama kama mali yake.

Anafanya madudu hata kiasi cha kupiga madili na kumpa Lowassa gap la kugombea.

Anakaa madarakani mpaka anapoona hana ushawishi ndio anaamua kug'oka.

Hatuna legitimacy kudai katiba mpya.
Una bidii sana.CCM watakupa nafasi punde
 
Fikiria kuwa na katiba ambayo inampa madaraka mwenyekiti kufanya chama kama mali yake.

Anafanya madudu hata kiasi cha kupiga madili na kumpa Lowassa gap la kugombea.

Anakaa madarakani mpaka anapoona hana ushawishi ndio anaamua kug'oka.

Hatuna legitimacy kudai katiba mpya.
Ukaolewe na Mbowe upunguze stress
 
Fikiria kuwa na katiba ambayo inampa madaraka mwenyekiti kufanya chama kama mali yake.

Anafanya madudu hata kiasi cha kupiga madili na kumpa Lowassa gap la kugombea.

Anakaa madarakani mpaka anapoona hana ushawishi ndio anaamua kug'oka.

Hatuna legitimacy kudai katiba mpya.
Tuoneshe hiko kifungu cha Katiba...kinachompa MWENYEKITI WENU hayo mamlaka.... USIPOKIONESHA UTAKUWA HUNA TOFAUTI NA MALAYA
 
Fikiria kuwa na katiba ambayo inampa madaraka mwenyekiti kufanya chama kama mali yake.

Anafanya madudu hata kiasi cha kupiga madili na kumpa Lowassa gap la kugombea.

Anakaa madarakani mpaka anapoona hana ushawishi ndio anaamua kung'oka.

Hatuna legitimacy kudai katiba mpya.
Anajiweka mwenyewe au anachaguliwa na wanachama?
 
Huyu famba asiechoka ni yule yule aliekuwa akimsifia meko hata afanye madudu kiasi gani, ni huyu huyu aliekuwa anawaona kina chalamila na kina sabaya kuwa ndio wazalendo wa nchi hii. Takataka hii hii ndio ilikuwa inataka meko aongezewe muda, Mungu akaona isiwe sababu akafyekelea mbali
 
Back
Top Bottom