Muuza viatu
JF-Expert Member
- May 14, 2020
- 3,840
- 7,920
Kweli,kuna ulazima wa kufanya marekebisho ya ndani kwanza ili ikitokea imepatikana nafas ya kuongoza na nje yasijeyakajirudia ya sisi emFikiria kuwa na katiba ambayo inampa madaraka mwenyekiti kufanya chama kama mali yake.
Anafanya madudu hata kiasi cha kupiga madili na kumpa Lowassa gap la kugombea.
Anakaa madarakani mpaka anapoona hana ushawishi ndio anaamua kug'oka.
Hatuna legitimacy kudai katiba mpya.
Kamanda naomba tuheshimiane.Usiingie chaka huyo ni Mataga, hajui kuwa Katiba ya Nchi ndio inaowagusa Watanzania wote
Jiheshimu kwanzaKamanda naomba tuheshimiane.
Kivipi? Unaona sina heshima?Jiheshimu kwanza
Ndugu yangu juzi tu nimetoka kwenye Ban usinitafutie nyingine.Kivipi? Unaona sina heshima?
Una bidii sana.CCM watakupa nafasi pundeFikiria kuwa na katiba ambayo inampa madaraka mwenyekiti kufanya chama kama mali yake.
Anafanya madudu hata kiasi cha kupiga madili na kumpa Lowassa gap la kugombea.
Anakaa madarakani mpaka anapoona hana ushawishi ndio anaamua kug'oka.
Hatuna legitimacy kudai katiba mpya.
Ahaaa Kamanda.Ndugu yangu juzi tu nimetoka kwenye Ban usinitafutie nyingine.
Ukaolewe na Mbowe upunguze stressFikiria kuwa na katiba ambayo inampa madaraka mwenyekiti kufanya chama kama mali yake.
Anafanya madudu hata kiasi cha kupiga madili na kumpa Lowassa gap la kugombea.
Anakaa madarakani mpaka anapoona hana ushawishi ndio anaamua kug'oka.
Hatuna legitimacy kudai katiba mpya.
Asante ndugu.Ahaaa Kamanda.
Siyo hii ya SamiaUna bidii sana.CCM watakupa nafasi punde
Tuoneshe hiko kifungu cha Katiba...kinachompa MWENYEKITI WENU hayo mamlaka.... USIPOKIONESHA UTAKUWA HUNA TOFAUTI NA MALAYAFikiria kuwa na katiba ambayo inampa madaraka mwenyekiti kufanya chama kama mali yake.
Anafanya madudu hata kiasi cha kupiga madili na kumpa Lowassa gap la kugombea.
Anakaa madarakani mpaka anapoona hana ushawishi ndio anaamua kug'oka.
Hatuna legitimacy kudai katiba mpya.
HujitambuiTuoneshe hiko kifungu cha Katiba...kinachompa MWENYEKITI WENU hayo mamlaka.... USIPOKIONESHA UTAKUWA HUNA TOFAUTI NA MALAYA
Anajiweka mwenyewe au anachaguliwa na wanachama?Fikiria kuwa na katiba ambayo inampa madaraka mwenyekiti kufanya chama kama mali yake.
Anafanya madudu hata kiasi cha kupiga madili na kumpa Lowassa gap la kugombea.
Anakaa madarakani mpaka anapoona hana ushawishi ndio anaamua kung'oka.
Hatuna legitimacy kudai katiba mpya.
Kamanda naomba tuheshimiane.
Acha umalaya, wa KISIASA... UTAOLEWA..Hujitambui